halooooo oooooo kasie huyo ni mzee mwenzio basi umtafute pia anafwezaUkimuangalia kwa karibu huyu baba ni handsome wa hajaa ........ lips za denda bado anazo.
Kasie Matata.
Lingosha hilo, wako hivyo, hatushangai umeshikwa..Ukimuangalia kwa karibu huyu baba ni handsome wa hajaa ........ lips za denda bado anazo.
Kasie Matata.
mfuate pm mzee mwenzio huyooKisha lipwa huoni alivyotakata?
wanawake mmeshaanza kummendea baba yetu, muda si mrefu tulikuwa tunawaona wadogo zetu lakini tutaanza kuwaita mama zetu wadogo. hamchelewi kumwachia mwenye hela awalenge ninyi. mwacheni mzee alishwe stress ziondoke ndio muwe mama zetu wadogo.Ukimuangalia kwa karibu huyu baba ni handsome wa hajaa ........ lips za denda bado anazo.
Kasie Matata.
Miss Natafuta awahi namba[emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Shida huzeesha aiseeee daaaah
Watamtafutia mke sasa hivi
Miss Natafuta ni bingwa wa kutafuta mi GuDume yenye pesa hapa mjiniMiss Natafuta awahi namba[emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kisha lipwa huoni alivyotakata?