Dr. Slaa afunguliwa mashtaka mahakama kuu leo


******* tu!!!
 
Hii sasa itakata mzizi wa fitina. Manake magazeti yamefungwa midomo sasa, hakuna kusema sema tena, na wakati huo huo, Dr. Slaa hajawekewa pingamizi juu ya ugombea wake wa Urais, kwa hiyo ataweka tu advocates waendelee kuichora hiyo kesi wakati yeye akiendelea na kampeni. Hapa tena CCM imechemka strategy. Na kuna kila sababu ya kuhoji, ni kwa vipi kesi hii imefunguliwa mahakama kuu na si mahakama ya mwanzo kama zilivyo nyingine. Advocates wa Dr Slaa, take that into account, hii kesi inaweza kushindwa kabla ya kusikilizwa. Just keep your eyes and ears wide open.
 
Hiyo ni binu chafu! Kesi ya namna hii iko natokea kila siku!
Hiyo mabo ya chama tawala ambaye inasubuka kusima moto ya Dr Slaa
 
Marriage is a contract..and a contract can b valid,void or voidable...contract inakua valid when there is clear consent btwn parties to contract...kwa case hii tuna two parties namely mahimbo and josephine...kwa hiyo kama kuna breach ya condations and warranties then the affected party without a reasonal doubt has a right to sue the other party b4 the court...kwa hiyo mahimbo ana haki ya kufungua kesi na kulingana na ushahidi wa vielelezo na wa kimazingira its 100 per cent Mr.Mahimbo atakua billionaire veri soon...the bottom line ni kua kama Slaa ameweza kudiriki kupora mke pamoja na watoto wa mahimbo just imagine akiwa raisi si atawapora wake wa akina Zitto,Prof Baregu,Mbowe na Mnyika(kama ameoa)....mwisho natabiri Dr.Slaa kuenguliwa katika mbio raisi...let us wait and see
 
Umeanza na judgement wakati kesi iko mahakamani.

Tujifunze kuwa na political correctness.

Mahimbo alipoenda kwenye media kulalamika, na kutoa vielelezo vyote anavyokusudia kutumia kujitetea, tayari ameingilia uhuru wa mahakama kutoa uamuzi ulio huru na haki. Mahakama ikitoa uamuzi kinyume na matarajio ya watu, basi, inaonekana kwamba imependelea upande mmoja.

Hii ndio sababu ya kuzuia kuzungumziwa kwa kesi yoyote ambayo iko mahakamani au inayokusudiwa kupelekwa mahakamani, isipokuwa kutoa taarifa zake kwamba kesi hiyo imepelekwa mahakamani.

Waandishi wanaotangaza habari za kesi hiyo kwa undani wake WANAHARIBU matokeo ya kesi hii. Kisheria, kesi hii tayari ni 'nolle prosequi' kwa kuwa imeshakuwa 'frustrated'. Wanasheria najua mtanikosoa, lakini huu ndio mtazamo wangu... labda nimekosea.

-> Mwana wa Haki
 
CCM wajanja wanatapatapa tu. Hizo mbinu na propaganda zao sidhani kama zitamsumbua ndugu yetu mkombozi Dr Slaa. Wanataka tu wamchanganye ili ashindwe kuzingatia uchaguzi. Na huyo anayedai ni mme original wa Josephine sijui amehongwa kiasi gani na CCM. Nadhani hizo pesa alizohongwa ndio zile walizoiba kwenye EPA na ma-ufisadi mengine, ambazo kama zisingeibiwa zingetumika kufanyia mambo ya maana kama kujenga mazahanati n.k. Lakini hii inaonyesha jinsi CCM wanavyotapatapa! Mbaya zaidi nadhani CCM hawana washauri wazuri. Wamekosea kweli kumshtaki Dr Slaa, kwani nimjuavyo ni mtu makini na asingekurupuka kufanya maamuzi ya kuingia kwenye ndoa kabla hajafanya utafiti wa first lady wake to be kama ni mtu wa namna gani na ana background gani!
 


Slaa KAFELI Upadri , KAFELI ndoa mnategemea ataweza nini? mtu ufeli basic mathematics mnategemea intergral ktk space ataiweza??
 
USALAMA wa TAIFA period!
 

Mh! Pesa ya mafisadi at work!
 


Huyu naye ni great thinker!
 
invisible, its a million dollar question... but if you trace carefully na kusoma vi\zuri habari za akina kambona na mzee wetu bhoke munanka, utajua ni propaganda iliyoanzia kwenye ujamaa na nyerere pia alimwagilia vizuri sana maji bustani hii ya propaganda

sasa basi, the only way to stop this is a radical change in our mindset na utajua hata sasa, wapinzani pia hutumia mbinu hizohizo mfano cuf, chadema na TLP ni mbinu hizohizo...

in short aliye nyuma yake ni itikadi tuliyorithi na unfortunately tumebadili mfumo wa democracy but we havent change our mindset
 

Woooooooooooooooooo nimefurahi sana,kama mimi vile natamani ni inunue,maana huyu jamaa namjua vizuri sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,kachemka kwelikweli,mtaona sisiemu itakavyo mtosa atakapoanza kushindwa.ushahidi mmoja tu ninao, alimuaga nakumwambia baki na kibaanda chako naenda kwanye nyumba yangu sasa hapo patamu sijui hakumbuki hilo mpaka aseme ameporwa?/
 
Kama watoto wako na Mama na Baba hajui wanakula nini na wanavaa nini nani kashindwa kazi ya malezi hapa. Josephine alitakiwa awe ameshampeleka huyo mwanaume ustawi wa jamii kwa kushindwa kuhudumia watoto

jamani acheni utata,nimewaambia huyu mtu namjua nendeni mkawaulize jirani zake pale baruti,yote mnayodai yamefanyika,hamuoni kuwa Dk yuko fit?na mashaka huyu baba hajui kwa sababu hakutoa ushirikiano.yaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaani ccm hapo ndipo mtakapo ona maharage ni dawa ya usingizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…