Elections 2010 Dr. Slaa akifafanua comparative advantage ktk uchumi wa Tanzania

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869
Dr. Slaa Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CHADEMA anafafanua masuala mengi ikiwemo:
  • Comparative advantage
  • Stimulus package ya uchumi (kinga dhini ya mdororo wa kiuchumi duniani)
  • Stabilization Fund Fund (mfuko maalumu kulinda bei za mazao ya wakulima kuwatia moyo wakulima wadogo na wakubwa)
  • Wakulima wa USA na EU wanalindwa na serikali zao, pia Chadema itawalinda wakulima wa Tanzania
  • Money Economy kwa wakulima
  • CHADEMA inatambua Muungano wa Tanzania ni wadamu kabisa. Kisiasa serikali tatu kwa Tanzania ni bora zaidi( Tanganyika, Zanzibar na Serikali ya Muungano).
  • Kodi mbalimbali kama VAT, madini kama Tanzanite, bauxite, dhahabu, almasi, utalii , samaki n.k na rasilimali nyingi zikisimamiwa vizuri huduma za jamii bure kama Elimu, Afya inawezekana kabisa.
  • mikataba mibovu kama ya sekta ya madini kufumuliwa.
  • wakati wa Mwalimu Nyerere iliwezekana kusomesha watoto bure kwa rasilimali chache, hivyo kipindi cha sasa inawezekana pia kwa vile tumefungua milango mingi ktk sekta ya madini.
  • Nilipata wadhamini zaidi ya milioni 1.3 nchini kote, hivyo nimeamini Watanzania wamenikubali kugombea Uraisi kwa tiketi ya CHADEMA.
part 1
part2
Video kwa hisani ya Tangibovu wa Youtube.
 
Last edited by a moderator:
NDIYO MAANA TUNAUNGANA WOTE, Tunaomba MDAHALO Mwingine kabla ya siku ya kupiga kura ili huyu jamaa ambaye ni HAZINA ya utawala bora ujao aweze kuyaeleza hayo yote na mengineyo yanayopotoshwa na waoga hawa, ambao wanajifanya hawajajua watanzania wamebadilika na hawadanganyiki tena!

Mdahalo mwingine utakuwa FUNIKA na kuwaweka watanzanzania wooote ktk alerts za Kupiga kura makini, kulinda kura, na kusubiria kusherehekea ushindi.

Nenda Baba Slaa, mzee wa 'genuine PhD' , na sio zile za 'kichina' kama aliyopewa JK 'kiaina' na anafurahi ile mbaya kila inapotajwa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…