DR Slaa alisahau nini Chadema?

DR Slaa alisahau nini Chadema?

Torra Siabba

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2016
Posts
243
Reaction score
287
Ndugu zangu, kuna huyu Kiumbe anaitwa Dk Slaa, Sikatai mchango wake kwenye kukijenga Chama cha Demokrasia na Maendeleo lakini kwa sasa anakera.

Wote mnakumbuka, baada ya Mzee Lowasa kuja Chadema huyu jamaa aliondoka Chadema akahamia CCM, NA kupewa Ubalozi huko CANADA, kiuhalisia kwangu Mimi sjui kwa wengine alipoteza nyota zote nilizokuwa nimempa kwenye bega lake.

Nimeskia kakamatwa, sikua najua alikamatwa sababu gani.. leo nimeskia ile Voice note!! NIMECHEKA SINA MBAVU buana Alichokamatiwa nimeshangaa sana.

Hivi Slaa anapata wapi uhalali wa kusema mbowe anahongwa pesa na President Samia? Wakati haya yeye alikimbia chama tena wakati kinamhitaji? Marafiki zake wamuambie ameshapoteza Ile Pontential zake kwa wananchi yaani sasaivi yeye hana jipya la kutuaminisha na wala hajasahau chochote kwenye Chadema yetu. Akae mbali tafafhali.

KWA MAONI YANGU JAMAA ASIACHIWE MPAKA UCHAGUZI UISHE
 
Dr slaa ndio alieisuka chadema kuwa chama cha kitaifa

Mbowe na mkwe wake walikuwa wanaendesha chama km taasisi ya familia

Dr.slaa ndie almpika mbowe akawa kiongozi akapunguza uhuni na ulevi

Toka aondoke dr slaa chadema ni km imejifia
 
Dr slaa ndio alieisuka chadema kuwa chama cha kitaifa

Mbowe na mkwe wake walikuwa wanaendesha chama km taasisi ya familia

Dr.slaa ndie almpika mbowe akawa kiongozi akapunguza uhuni na ulevi

Toka aondoke dr slaa chadema ni km imejifia
Kuuza utu wake, kwa njaa ya Cheo leo kinamtokea kwa Pua
 
Namkubali Slaa, alikuwa sahihi kujitoa kipindi kile kumsafisha Lowasa ulikuwa unafiki wa hali ya juu.
 
Mihogo ya Chadema mitamu lakini nadhani ya CCM itakuwa michungu🤣
 
Dr slaa anaishi kwenye misingi

Chadema iliorodhesha lowasa ni fisadi
Dr slaa alikataa kumuidhinisha fisadi kugombea urais akaondoka
Hana misingi yoyote! Jukwaani alikuwa akiwananga CCM Mafisadi ila kwenye Intavyu na Salim Kikeke akasema kadi yake ya CCM Bado analipia ada. Si mhuni tu huyu
 
Back
Top Bottom