Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Ilikuwa katika mkutano wa hadhara wiki iliyopita hapo Dar. Lakini wao watafanya nini na Panya, kwa vipi na kwa muda gani wakiingia madarakani? Isije kuwa na wao wataamua kukaa vikaoni na panya na kujadiliana ni jinsi gani ya kuwakamata bila kusababisha vurugu kwa watoto wapanya!
Last edited by a moderator: