Dr. Slaa ataka Sofia Simba ajiuzulu au awajibishwe


Thanks mkuu,nimeshakunywa maji........

Please dont patronize me to know what SS did and how she did! we also know for sure that JK wont do anything. Let us focus on how to remove CCM from the power not on how SS is doing her job!
 
Ulipoanzia sikuwa nimekuelewa kabisa mkuu.
Ila mistari ilivyozidi kushuka ndo nikapata picha unazungumza nini.
Bravooo Wabero!!
Hizo ndo fikra za ccem na marobrt yao.

Kazi kwishaaa!!
 
Mfamaji,

..Wizara ya Utawala Bora[usalama wa taifa] iko chini ya Ofisi ya Raisi wa Jamhuri na Amiri Jeshi Mkuu.

..Sofia Simba ni Waziri wa Nchi ofisi ya Raisi Utawala Bora. kwa msingi huo Waziri Mhusika wa Wizara hiyo ni Raisi mwenyewe.

..kama mswaada huo una makosa mtu wa kwanza anayepaswa kuwajibishwa ni Waziri wa Utawala Bora, ambaye ni Jakaya Mrisho Kikwete, baada ya hapo ndiyo afuatie Waziri wa Nchi ktk wizara hiyo.

..mswaada hata kama unasomeka kama umeandaliwa kwenye saloon, lakini kiutaratibu lazima ulipitiwa na kujadiliwa kwenye Baraza la Mawaziri, Ofisi ya Mwanasheria Mkuu, na baadaye Kamati ya husika ya Bunge. sasa katika hatua zote hizo kwanini wameshindwa kuuboresha?

NB:

..lawama kubwa kuhusu mswaada huu ni kwamba utampunguzia madaraka Raisi wa Jamhuri ktk masuala ya usalama wa taifa na ulinzi.

..kwa wale wanaoupinga mswaada huu naomba watupe sababu za msingi za madhara ya Raisi kupunguziwa madaraka hayo makubwa. ua pia wanaweza kutueleza manufaa ya kuendelea na mfumo tulionao sasa hivi.
 
We unazungumzia kabinet gani?
Umeona kuna mtu yeyote makini katika kabinet ya Kikwete?
 
Kweli kuna vimeo lakini huyu kimeo cha juu kabisa mara apigane mara mipasho mara mswada usiokua na kichwa wala miguu akini JK KIMYAAAAAA!

Mnajua SS anampa JK nini kinachompagawisha JK? Mara nyingi ukishapagawa, chongo unaona kama kengeza, Busha utaona kama ni tumbo lililojitokeza kwa chini.....! Sisi tunamwona SS mbovu lakini kwa JK ni waziri booooora kuliko mawaziri wooooooooooote waliowahi kuwepo nji hii. Tutabwabwaja weeeeeeeeeeeeeeee matokeo yake mtasikia kwenye neksti kabineti mama amelamba u-piem!
 
Jasusi,

..hivi ktk mfumo wetu wa utawala, Mawaziri wa Nchi/Minister of State, wanahesabika kama Cabinet Members? kuna wanaofahamu mipaka ya kazi na madaraka ya Mawaziri wa Nchi?

..mimi naona swali hilo hapo juu ni lazima lifafanuliwe kwanza kabla ya kumtishwa lawama na kumsulubu Mama Sophia Simba.
 


Jokakuu,

Thanks a lot for your input; however, I would like to know what was in that proposed bill that irked members of parliament Frankly speaking, I am completely flabbergasted with Dr. Slaa's respond, I thought he would embrace this idea of keeping president's power in check. For so long, we have been complaining about the unchecked power vested on the president by our constitution. In addition, many scholars have also persuaded the parliament to amend the constitution in order to bring check and balance but to no avail. The mistake our politicians are making is to assume that every president will religiously follow the constitution . We are creating a big monster that one day will …..
 

you can say it again!
 
Simba hafai! Hafai napinga uteuz wake na kwa wale wasiojuwa zidin kumpenda but iman yangu hatorud tena ktk nafas ya uwazr. Mungu ibarik Tanzania
 
huyo mama hakuna lolote alifanyalo hapo toka apewe madaraka tena anawaabisha wanawake coz wanaonekana hawawezi kwani anapenda sana uswahili kila muda anafikiria ypo katika taarabu na kilicho mbele yake ni mipasho ona alivyoanzishaga bifu lisilokuwa na msingi baina yake na katibu wake kisa......................
 
Rufiji,Waberoya,Yebo Yebo,

..while discussing this bill, it is important that we deferentiate the proposals that were in the original bill as presented by Sophia Simba on behalf of the goverment, from the proposals that were made by the Parliamentary Committee.

..my understand is that, what is read b4 the parliament floor, is usually a compromise bill that has the inputs and proposals frm the government, members of Parliamentary committee, and other stake holders.

..I might be wrong, but i am very suspicious kama serikali ndiyo inayopendekeza Raisi apunguziwe madaraka ktk masuala ya usalama wa taifa. nahisi kipengele hicho kimetokea ktk kamati ya bunge.

TumainiEl, Ndundu,

..Sophia ni Mwenyekiti wa Jumuiya wa Wanawake wa CCM. kutokana na nafasi hiyo ni Sophia ni mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM.

..kutokana na uzito wake ndani ya CCM, siyo rahisi Sophia Simba akatupwa nje ya baraza la mawaziri, au bunge.mwenyekiti wa jumuiya wa wanawake aliyemtangulia alikuwa ni Anna Abdalah naye siku zote alikuwa ha-miss kwenye cabinet au bungeni.

..dawa ya tatizo hili ni kuiondoa CCM madarakani.
 

Naposikia vitu kama hivi, napata ghadhabu kubwa na nashawishika kuamini zile kauli za kashfa kwamba: Ukitaka kumficha kitu Mwafrica (sio wote), weka kitu hicho kwenye maandishi
 

Endapo angesema hivyo mswada ungeungwa mkono na wabunge wote wa CCM na Kikwete angekuwa a hero...Raisi aliyejipunguzia madaraka yake mwenyewe,
na taifa lingepata taswira tofauti kabisa ya taswira ilijengeka sasa baada ya mswada huo kupingwa bungeni, na fahamu kuwa zaidi ya asilimia 90 ya watanzania hawajui na wala hawahitaji kujua mswada unazungumzia nini, the best they can do ni kusikiliza walioujadili bungeni wamesemaje kuhusu mswada huo na vyombo vya habari vimeandikaje kuhusu yaliyojiri, kisha mambo tambarare.

Kazi ni ngumu kiliko tunavyodhani, hiyo approach aliyoitumia ni nzuri kwa mazingira ya sasa, ni muhimu kwake kutojenga taswira ya kichama ili kutafuta uungwaji mkono wa wabunge wa CCM kwenye hoja za msingi, Pindi vyama vya upinzani vitakapokuwa na idadi ya wabunge inayoweza kuathiri maamuzi ya bunge, approach yako itakuwa ni nzuri zaidi lakini wakati huo bado.
 
Sielewi kwnaini msomaji wa mswada atakiwe kujiuzulu wakati walioutunga mswada huo wabakie hapo hapo. Kuundwa kwa Baraza la Usalama ni sera ya CCM; wamefanya majadiliano yao wao wenyewe ndani ya serikali katika kutekeleza sera hiyo na matokeo ndiyo hayo ya kuitungia sheria. Ili kuhakikisha kuwa sheria hiyo haipingani na Katiba Mwanasheria Mkuu na wanasheria wa Ikulu n.k wanaipitia n.k Ndiyo msomaji (waziri analetea kuijadili).

Sasa, wabunge wanayo haki ya kuhoji na kufanyia mabadiliko mswada huo kabla haujapitishwa na Bunge; kina Slaa, Ngwilizi, Malecela na wengine badala ya kuukataa tu walitakiwa wao wenyewe watoe maoni yao au mapendekezo ya mabadiliko (ammendments) ili uwe vile unavyopaswa na wabunge wajadiliane na upigiwe kura na wabunge wote.

Haitoshi kuukataa mswada na haitoshi kutaka SS awajibishwe. Dr. Slaa na Ngwilizi watunge mswada mbadala wa Baraza la Usalama wa Taifa kwani wanaruhusiwa kikatiba na wawashawishi wabunge wenzao kuuadopt huo na ikibidi ule wa serikali na wa kina slaa ipatanishwe na ndio waweza kupatikana mswada bora.

Kusema haufai haitoshi, pendekezeni unaofaa.
 

Wabunge nao hawajui kazi yao, hapo nakuunga mkono MM, wao waseme nini kifanyike katika huu muswaada na kama Sofia Simba hakufuata utaratibu wa kiutendaji ajuwe kwamba wabunge sio mizoga. Hawezi kurudia tena upuuzi kama huo.
 
Mimi nadhani tunadebate juu ya mbuzi aliyeko ndani ya gunia, nani haswa anao huu mswada aulete hapa tuone ni haswa kibaya alichokisema huyu Mama? Jamani mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni sioni kosa lolote alilofanya huyu mama, kazi ya bunge sio ku-rubber stamp kila kitu bali ni question maamuzi ya serikali n.k.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…