Elections 2010 Dr. Slaa Jangwani katika Picha

............. Karatu hana lolot jipya kaleta. Yaaani hana mpya yoyote....
Kwani JK wakati anaingia Ikulu 2005 aliacha kipya gani Chalinze? Eleza japo viwili tu.
Kukusaidia tu, JK amekuwa mbunge wa Bagamoyo (chalinze iliwepo) kwa miaka ishirini.
1. Aliacha shule moja ya serikali (Lugoba Sec ambayo yeye alisoma middle School)
2. Kituo cha afya kibovu, hakina gari, tabibu wala dawa
3. Shule za Msingi 11 kwenye jimbo lenye kata 6
4. Vijana wakipoteza mwelekeo, wengi wakikimbilia kuuza korosho barabarani na kutengeneza magenge ya wezi na majambazi
5.Barabara za vijijini zisizopitika iwe kiangazi au wakati wa Masika
6
7
8
Kulinganisha Miaka 15 ya Rais Slaa Karatu na miaka 20 ya JK Chalinze ni sawa na kulinganisha umakini na Usanii
 


Haya mkuu. Subiri mtu aje achukue pesa za mafisadi awapeni. Sina ziada.
 
mimi ni Mtanzania halisi bwana. Kiingereza wanajua Waingereza. Sasa sijui wewe ni mwingireza?!
sasa kama ulijua siyo lugha yako kwanini uliidandia? ulidhani ukiandika kiingerza ndo utaonekana una hoja? shwain
 
sasa kama ulijua siyo lugha yako kwanini uliidandia? ulidhani ukiandika kiingerza ndo utaonekana una hoja? shwain

Hapa tunaongelea Slaa. tukija kwenye kidhungu, utakaa kimya wewe na shwain wenzako, msiongee wiki nzima!. Weka hoja ya Slaa tu.
 
Hapa tunaongelea Slaa. tukija kwenye kidhungu, utakaa kimya wewe na shwain wenzako, msiongee wiki nzima!. Weka hoja ya Slaa tu.

Kanyafu Nkanwa, JK,MAKAMBA,TAMBWE HIZZA, MALARIA SUGU wote ni kitu kimoja. Mufilisi kichwani!
 
Kweli wewe hamnazo!! Yaani nimejikuta nacheka bila kutaka. Hivi ni kifunguu gani cha sheria kinachosema mtu akiiba, unampa mda arudishe kile alichoiba, na akirudisha on time unamsamehe? Nina hamu kweli ya kuwa mwanasheria ili niyajue haya. Maana nakumbuka pale JK alipowapa miezi mitatu mafisadi wote wawe wamerudisha hela waliyoiba, na kama wasingerudisha angewapeleka mahakamani. Nafikiri Rostam atakuwa alirudisha ndiyo maana hakushitakiwa.

Pia nakumbuka pale JK aliposema anayo orodha ya wafanyabiashara wa madawa ya kulevya. Wasipojirekebisha atawachukulia hatua kali. Nakumbuka pia JK aliposema rushwa haizuiliki, kitochi ni lazima. Tafadhari KN niambie ni sheria gani iliyokuwa inafuatwa katika kutoa maamuzi haya? Hivi mtu kaiba bilions unampa muda wa kurudisha, halafu akirudisha amesamehewa. Wakati kibaka akichomoa simu ya elfu ishirini hata akikamatwa na kuirudisha, bado sheria inachukua mkondo wake? Halafu ni sheria gani inayomruhusu Rais kupanga matumizi ya pesa bila kupitishwa na bunge? Kwa mfano hela ya EPA aliamua kuiingiza kwenye kilimo, hata mgawanyo wake hatujui ulikuwa vipi, wala hakututajia kwamba zilirudishwa bei gani! Yaani ni burudani kwelikweli. Ni vile tu Tanzania ina bunge chovu. otherwise alikuwa apigiwe kura ya kutokuwa na imani naye.
 
Ila nimeshangaa kuona kuwa kuna watu ambao wako busy kujaribu kumponda Dr Slaa kwa hiyo wakiona thread yoyote wanaingia na kuandika Hate speech, lakini nataka kufanya observation: Law of Universe inasema the more you talk about someone the better, ndo unamwongezea nguvu, hata kama unamwongelea mabaya, kama wanavyosema wadhungu haterz are ur secret fans!! Hahahaha!
 

who cares who the hello are you,umeishiwa hoja you go into personals ,
ivi hata kama umetumwa huoni kuwa unaisaliti nchi yako shame on you
 
Na ushahidi ulidhihirisha kwamba wale wote waliotajwa Dr ni mafisadi, lakini tukirudi kwa Kikwete kuna ushahidi chungu nzima wa kuonyesha ubabaishaji wake hadi Watanzania kumpa jina la msanii.
Ndio ni Watanzania ila ungekuwa more specific kuwa ni wana CCM wenzake walimwita msanii kwenye ile thread yao!
 
Ha ha ha haaaaa wao wanadhani haters wanapojazana humu kumsema vibaya Slaa ndiyo wanammaliza, hawajui kuwa mara nyingi publicity ya mtu haikuzwi na pro wake hukuzwa na wapinzani wake, kina MS, KN, Tumaini, Kiranga & co. kama hawalijui hilo basi kazi tupu.
 


I might have some indifferences with the trend and intricasies of Dr Slaa's candidancy lakini hili la kuwa mbabaishaji I say BIG NO. Dr Slaa is one among few credible candidates for leadership positions we have ever had. Find some other flaws lakini not hili la ubabaishaji. Na pia acha kutumia the so called the mass of Tanzanians kuhalalisha ur personal opinion kwani unajua wazi the state of our mass when it comes to the issue of knowing our leaders real competence and so their character.

omarilyas
 
Dar hamna kitu. wamemshtukia kuwa mbabaishaji tu
Tofauti ya hawa waliokuja hapa na wale wanakuja kwenye mikutano ya CCM ni moja. Wanaokuja kwenye mikutano ya CCM husombwa kwenye Maroli na kuvalishwa Fulana na kofia za bure pamoja na kupewa pilau za Amira!!

Pia Mikutano ya CCM hutangazwa sana na vyombo vya habari na kuhamasishwa kwa kutumia mfumo wa Dola. Hawa walikuja hapa wenyewe bila ya kusombwa wala kufuata maslahi yao binafsi.

Haijawahi kutokea kwa CHADEMA kujaza watu wengi kama hawa kwenye uwanja wa Jangwani!!
 

Wewe kweli ni mtanzania? ama ni wale wale waliotumwa kuwakatisha watu tamaa. Leta hayo mafaili yako tuyaone, usisahau na mafailki ya EPA, Richmond, Geen Finance, Tangold, Meremeta, Kiwira na ufisadi wa halmashuri zote chini ya CCM.
 
Mie ningependa aerial fotos jamani! hiyo helicopter si wangepandisha mpiga picha mmoja kupiga umati! jamani fanyeni hivyo kuvuta hisia
 
Wewe kweli ni mtanzania? ama ni wale wale waliotumwa kuwakatisha watu tamaa. Leta hayo mafaili yako tuyaone, usisahau na mafailki ya EPA, Richmond, Geen Finance, Tangold, Meremeta, Kiwira na ufisadi wa halmashuri zote chini ya CCM.

Msihangaike kubishana na hii mitoto ya mafisadi! They will stop at nothing until they see us all worshiping them! Kwa mtu ambaye si mgonjwa akili hawezi hata siku moja kuendelea kutetea ujangili huu wa mcahana tunafanyiwa na serikali ya CCM hata kama ungekuwa mkereketwa wa chama, vinginevyo wewe ni FISADI AU MTOTO WA FISADI. Mjiandae kuihama hii nchi because we are coming for you!
 
Slaa's very disappointing on the podium
 

jamani muacheni huyu ni mgonjwa wa akili yaani UFISADI UMEMFUNGA AKILI ZAKE ZIMETREAD SASA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…