Elections 2010 Dr. Slaa Jangwani katika Picha

Go dr. Slaaaaaaaaaaaa go .................................go dr. Slaaaaaaaaaaaaa go to ikulu
 
Hahahahahaha! Ndugu Rutashabanyuma unasema nenda, nenda, nenda, nenda DR SLAA? Lakini tumuombee asiende kimoja arudi mwaka 2015 panapo uhai ili atoe changamoto zaidi. Hata kama hatagombea awaandae wakina Kabwe watakuwa wameshafikia umri wa kugombea uraisi. Au unasemaje ndugu yangu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…