Vikao vya siri vinaonyesha ya kuwa jk amepanga kumchagua slaa kuwa waziri wa nishati na madini iwapo atashinda uchaguzi wake ujao, je na yeye dr slaa akishinda uchaguzi huu ataweza kumchagua jk katika baraza lake ili wafanye kazi pamoja, na nini mitazamo ya wananchi kwa ujumla kuhusu baadhi ya wabunge wa upinzani kuchaguliwa mawaziri?
Vikao gani?
Akishinda Slaa, kuna wengi wa kupanda kizimbani. Wote wale wanaonda kutangaza HOFU kwa wananchi.
Watu kama Tumain na Malaria Sugu ni watu wa aina hiyo ambao au baba zao au mabwana zao au ndugu zao/jamaa zao au inaweza kuwa hata wao wenyewe WATAPANDISHWA kizimbani kujibu mashtaka ya kuuza na kuiibia nchi.
Napinga sana watu wanaoandika TUMUOMBE MUNGU.
Kwa sisi Wakristo, biblia imeandika wazi "PIGA HODI, UTAFUNGULIWA." Hii ina maana tusiombe Mungu na kubweteka.
Katika hili, tusipige magoti. Tukimbie huku tukiwa na imani zetu kuwa MUNGU YUPO NA SISI.
Kila mtu na atimize wajibu wake kwa KUMFANYIA kampeni ya nguvu Dr. Slaa.
Ikifika jioni, unapokwenda kulala ndipo unapiga magoti kumuomba Mungu..... AMEN.
MUNGU IBARIKI TANZANIA.....
Vikao vya siri vinaonyesha ya kuwa jk amepanga kumchagua slaa kuwa waziri wa nishati na madini iwapo atashinda uchaguzi wake ujao, je na yeye dr slaa akishinda uchaguzi huu ataweza kumchagua jk katika baraza lake ili wafanye kazi pamoja, na nini mitazamo ya wananchi kwa ujumla kuhusu baadhi ya wabunge wa upinzani kuchaguliwa mawaziri?
Vikao vya siri vinaonyesha ya kuwa jk amepanga kumchagua slaa kuwa waziri wa nishati na madini iwapo atashinda uchaguzi wake ujao, je na yeye dr slaa akishinda uchaguzi huu ataweza kumchagua jk katika baraza lake ili wafanye kazi pamoja, na nini mitazamo ya wananchi kwa ujumla kuhusu baadhi ya wabunge wa upinzani kuchaguliwa mawaziri?