Dr. Slaa: Kikwete mmiliki wa DOWANS...

Hana budi kujiuzulu haraka sana.
 
Huyu ndiye Msomi kuliko wote Tz, Dr..Dr...Dr....Dr..........JK. We don't wan't him anymore bcoz he thrusted us when we trusted him.
1. Tume huru ya kuunda katiba mpya isichaguliwe na Rais, iundwe thru Bunge, katiba si ya CCM, ni ya wananchi wote
2. Hajaongelea kabisa Dowans na kuwa bubu, kwa issue kubwa kama hii, kama kawaida yake he doesn't care,
ni MAAFA Dr. Slaa mapema warned us kuirudisha CCM, then anaongelea mambo ya Sudan, jamani :frusty::smash:
3. Bunge lipeleke hoja haraka thru wapinzani kutokuwa na Imani na rais
 
If you call your mouth a "hole" remember that you're talking/speaking to a known hole; THe Mouth. WE have many holes, You speak like you're the' re real URT president or on behalf!
 

Dokta wa ukweli au dokta wa kanoni?
 

- Wakati mwingine Dr. Slaa huwa ananiacha hoi sana, I mean wabunge wengi wa CCM wamechaguliwa na nani kama sio wananchi wengi?, sasa watapitishaje matakwa yasiyo ya wananchi wengi wakati sio siri kwamba wabunge wengi wa CCM wamechaguliwa na wananchi wengi!

- I m missing something hapa au what?


William.
 

najua unaelewa alimaanisha nini lkn ubishi tu ndio unakusumbua. Maslahi ya chama kwanza nchi baadae
 
najua unaelewa alimaanisha nini lkn ubishi tu ndio unakusumbua. Maslahi ya chama kwanza nchi baadae

- Great Thinkers huelimishana, vipi ukinielimisha alichomaanisha, kwamba wananchi wote wa Tanzania ni lazima tukubali mependekezo ya Dr. Slaa na Chadema tu kuhusu marekebisho ya katiba, ndio haki ya Demokrasia ya kweli itakuwa imetendeka?

- Are you kidding me or what?


William.
 
Jibu hoja!
Dar ES Salaam usimwite Dr Slaa eti ni mchochezi! The best man who have love. WE must embrace this Love, CHARISMA. The different between this thug so called DR Kikwete (a HEHE name now we here he is from this province PARE) and DR Slaa is charisma> Go and look in all those dictionaries you know what is CHARISMA? Mr Slaa (I didn't say DR) has charisma, he loves his people like the way Mwalim did (Mwalimu is the first President ot URT).

The man you are advocating is a real thug and a hooligan, the best nane to call him is A retard! A cretin.

40 million people are at risk!
 

- Mhhhh mkuu vipi retards si ni part ya jamii pia au?


William.
 

najua unaelewa alimaanisha nini lkn ubishi tu ndio unakusumbua. Maslahi ya chama kwanza nchi baadae
red
 
Correct your mind; in the past I asked you about Mzee wa "Galsgow" you never answered this; but why don't you think Mr Slaa (not Dr), is not telling the truth?
read between the lines the man (Mr Slaa) is Brilliant!
 
Yota yamesemwa lakini kwangu mimi naona tatizo tulinalo hapa ni kwamba either mwizi na polisi dili lao moja or mwizi na polisi wamesoma chuo kimoja hivyo wana sifa sawa, ningeweza kuendelea kuelezea hili lakini nadhani mpaka hapo jibu unalo!!
 
Correct your mind; in the past I asked you about Mzee wa "Galsgow" you never answered this; but why don't you think Mr Slaa (not Dr), is not telling the truth?
read between the lines the man (Mr Slaa) is Brilliant!

- Siwezi kutoka kwenye hoja kirahisi hivyo, vipi ukinijibu hoja yangu mkuu? Hayo mengine unaweza kuyafungulia topic zake maana ni mengi mno na yako nje ya mada!

William.
 
Mi ndo maana naipenda JF +dr wa ukweli wanafikiri kabla ya kusema au kuandika, kama JK DOWANS si yake aseme live nani mmiliki wa hii kitu, na kwanini tusikate rufaa, yaani tuwalipe kirahisi rahisi tu, aah HAIINGII AKILINI HATA KIDOGO
 
najua unaelewa alimaanisha nini lkn ubishi tu ndio unakusumbua. Maslahi ya chama kwanza nchi baadae
red

- Hapana mkuu the point ni kwamba Tanzania tunahitaji marekebisho ya katiba, lakini sio uwe uamuzi wa Dr. Slaa na Chadema tu!

William.
 
Hana budi kujiuzulu haraka sana.
Mkuu Bubu Ataka Kusema,
Hili kwa JK haiwezekani kamwe kwani kufanya hivyo kitakachofata ni kufungwa kwa JK na mafisadi wenzake kama ataingia mtu mwadilifu sasa JK hawezi kulikubali hili.....
 
unapoamua kutoona kwa makusudi kabisa ni lazima hutoona
wenzako wanavyoviona. hivyo msaada ni bora ufungue macho uone
vinginevyo utabaki kutoona japo uwezo wa kuona unao. ni hilo tuu.

 
- Hapana mkuu the point ni kwamba Tanzania tunahitaji marekebisho ya katiba, lakini sio uwe uamuzi wa Dr. Slaa na Chadema tu!

William.


You write then You think, do it opposite way, u r not good at brainstorming at all, &
you stopped putting FACTS, FACTS today still indoor thinking u possess
1. No Amendmends, we need new constitution, be clear of that, then kama kuna
mazuri in Old const. tutaingiza, period, sijui kama unajua tofauti hapa
2. hakuna mahala katiba itafuata uamuzi wa Dr. Slaa & CDM pekee, ila hoja hii ilikuwa
ya CDM during election, ila uundwaji utashirikisha ALL, as it touches all of us, na tume iwe huru si ya kuchaguliwa na rais, so think then write na acha ligi za michangani hapa as you are.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…