Njowepo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 9,710
- 2,240
Leo nilikuwa mtaani nkawahoji vijana wachache kuhusu uchaguzi.
Wachache wao walikuwa wachuuzi wa vitu vidogo vidogo ambao hunyemela bar kupata wateja wengi wao walionekana kuwa wamejiandikisha ila ukimuuliza utaenda kupiga kura.Wengi wao wakasema hawataenda kupiga kura kwa sababu mgombea wanaemchagua miaka nenda rudi hashindi so hawaoni sababu ya kwenda ungua na jua wakati mshindi anajulikana.
Nkawauliza iwapo Slaa atashinda je utashangilia wengi wakajibu ndio,then nkawatwanga maswali kuwa kwa nini usiwe sehemu ya HUO USHINDI wengi wao waliishia kucheka tuu.
Kuna mzee pembeni akadakia Slaa ana support ya vijana wengi ambao wengi hawaendi kupiga kura madhara yake wazee wakienda CCM itaendelea kubaki madarakani daima.
My plea to you all ni kuwaelimisha hawa vijana wetu mbaya zaidi wapo niliokuwa nachart nao ni garaduate bado wana mtazamo kuwa nipige nisipige matokeo yanajulikana.
Wachache wao walikuwa wachuuzi wa vitu vidogo vidogo ambao hunyemela bar kupata wateja wengi wao walionekana kuwa wamejiandikisha ila ukimuuliza utaenda kupiga kura.Wengi wao wakasema hawataenda kupiga kura kwa sababu mgombea wanaemchagua miaka nenda rudi hashindi so hawaoni sababu ya kwenda ungua na jua wakati mshindi anajulikana.
Nkawauliza iwapo Slaa atashinda je utashangilia wengi wakajibu ndio,then nkawatwanga maswali kuwa kwa nini usiwe sehemu ya HUO USHINDI wengi wao waliishia kucheka tuu.
Kuna mzee pembeni akadakia Slaa ana support ya vijana wengi ambao wengi hawaendi kupiga kura madhara yake wazee wakienda CCM itaendelea kubaki madarakani daima.
My plea to you all ni kuwaelimisha hawa vijana wetu mbaya zaidi wapo niliokuwa nachart nao ni garaduate bado wana mtazamo kuwa nipige nisipige matokeo yanajulikana.