Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
Dr. Slaa awaahidi wastaafu wa iliyokuwa jumuiya ya Afrika Mashariki kulipwa ndani ya siku mia moja ya utawala wake mpya...........
Hii dhuluma dhidi ya wastaafu hao ambao wameitumikia nchi hii kwa uadilifu mkubwa kwa miaka nenda rudi ulimshinda Baba wa Taifa Nyerere, Mwinyi, Mkapa na sasa Jk ambaye haoni hata aibu kuzungumzia ahadi hewa za miradi mipya wakati amegoma kuwalipa wastaafu hawa wanyonge.
TUNAMSHUKURU MOLA MWENYEZI MUNGU KWA KUTUPATIA MKOMBOZI WETU DR. SLAA NA CHADEMAAAAAAAAAAA
Hii dhuluma dhidi ya wastaafu hao ambao wameitumikia nchi hii kwa uadilifu mkubwa kwa miaka nenda rudi ulimshinda Baba wa Taifa Nyerere, Mwinyi, Mkapa na sasa Jk ambaye haoni hata aibu kuzungumzia ahadi hewa za miradi mipya wakati amegoma kuwalipa wastaafu hawa wanyonge.
TUNAMSHUKURU MOLA MWENYEZI MUNGU KWA KUTUPATIA MKOMBOZI WETU DR. SLAA NA CHADEMAAAAAAAAAAA