Katibu mkuu wa chadema dr slaa atahutubia mikutano mitatu kwenye majimbo yaliyopo mkoa wa kinondoni. Mpaka sasa watu wanaendelea kumiminika kwa viongozi waliyofika wa juu ni mzee kimesela,katibu wa mkoa wa kinondoni na kanda ya dar es salaam mhe.Henry kilewo pamoja na katibu wa vijana wa
mkoa huwo Renatus Mlashaniпл.
mkoa huwo Renatus Mlashaniпл.