Kwasasa dr slaa amewasili na timu yake. Uwanja ni uwanja wa mbezi mwisho kuelekea goba. Kawe itakuwa ni saa saba na nusu
Kawe ni kubwa mkuu, atakuwa viwanja gani weka maelezo yaliyokamilika mkuu Colombia.
Waleta taarifa awajui jinsi ya kuelezea kitu watu wakajua kawe ipi? Au uwanja gani? Kama ni tanganyika pekaz tujue watu tuanze safari ya kusogea kwenda pale....ila nashukuru kumbe itakuwa tanganyika pekaz wote mnakaribishwa
Nitanganyika pekaz kwa kawe. Kinondoni ni uwanja wa shule ya msingi barafu magomeni
wapenzi wa chadema mnakaribishwa saa saba dr slaa na dada yetu mpendwa halima na mbunge wa jimbo la kawe watakuwa tanganyika pekazi kuanzia saa basa mchana mnakaribishwa kawe
Shukurani mkuu, nipo hapa morocco on the way kuja huko,hapo kwenye red nadhani ulimaanisha saba.
Kweli kamanda nilimaanisha saba asante pia