Kanyafu Nkanwa
JF-Expert Member
- Jul 8, 2010
- 850
- 103
- Thread starter
-
- #41
So far this is nice response kwa aliyeanzisha thread.
Lazima tukubali kuwa watu wametofautiana na mabavu na hasira huwa havimbadilishi mtu , kama wengi wa wanachadema wanavyojivua nguo humu. Hoja hujibiwa kwa hoja, kujibu kwa vituko havisaidii uchaguzi si umepita?
BW KANYAFU INABIDI TUMWAMBIE Jamii Forum kama ni matusi na masuhabiki wa chadema wamezidi hawa si URAIS tu hata JK walimtukania MAMA YAKE mbona ZITTO na MBOWE katika wapiga kura wa MAJIMBOyao wamenyamazaHukuhitaji kuniita Kilaza wakati umerudia yale yote niliyoongea mimi hapo juu. Huu uliosema ndiyo ukweli na utabakia hivyo hivyo kama pia nilivyosema mimi hapo juu.
BW KANYAFU INABIDI TUMWAMBIE Jamii Forum kama ni matusi na masuhabiki wa chadema wamezidi hawa si URAIS tu hata JK walimtukania MAMA YAKE mbona ZITTO na MBOWE katika wapiga kura wa MAJIMBOyao wamenyamaza
JF sisi tunaotumia huu mtandao hatufiki hata 1000 ya nini kuukanana? MIMI SITAKI UPINZANI MAANA LEO CHADEMA KESHO CUF CCM HAMTAITOA kwa matusi
SLAA KAINGIZWA MKENGE HAA TURUDIE CEMENT YA 5000 CHADEMA ACHENI MATUSI
kama mnabisha JF achambue michango yote na awa-block
NCHI HAENDI KWA JAZBA RAIS KESHAAPISHWA
Kubalini tu mzee slaa this time ameingizwa mjini aisee na wajanja wenzake wengine wa CHADEMA
Kama ilivyotegemea, uchaguzi umeisha. Lakini jambo moja ambalo ni baya na la kinafiki, ni kitendo cha top brass ya Chadema kujaribu kumtosha mwenzao. Slaa. Kumtosa kwa maana ya kwamba kuteuliwa kugombea Urais, taaisisi ambayo ni ngumu sana kwa mfumo uliopo nchini humu. Haikuweza kufikiriwa kwamba mtu kama Slaa angeingia mkenge wa kuwania Urais ambao kamwe hasingeweza kuupata. Nasema kwamba asingeweza kuupata kwa sababu ni dhahili kuwa maeneo mengi ya nchii hii yamefunikwa sana na CCM kwa namna zote.
Ilikuwa ni jambo la maana sana kwa Chadema na vyama vingine kujaribu kuwaelimisha kwanza watanzania maana halisi ya vyama vingi. Watu wengi nchini mtu akiwa na hela huwa ni 'hero' na kitendo cha Slaa kutumia silaha ya ufisadi kwa namna yoyote ile haikuweza kusaidia chochote.
Tunatambua kuwa ni kweli kulikuwa na matatizo ya kupiga na kuhesabu kura. Pia tunatambua kuwa kulikuwa na uchakachuaji wa hali ya juu sana kutokana na woga wa CCM kushindwa. Lakini ukweli unabakia pale pale kuwa kama ambavyo Slaa anadai, kurudiwa kwa kuhesabu sana sana angeshangaa sana, maana uwezekano wa CCM kupata zaidi ulikuwa ni mkubwa mno.
Tusidanyanyike kwa propaganda za uwongo wakati sisi tuna akili nyingi sana. Ukweli unabakia kuwa Slaa kapigwa chini kabisa. Suala la kuwa watu wachache ndiyo waliopiga kura linachagisha uwezekano kuwa kama wangepiga wote basi CCM ingeweza kupata asilimia kubwa zaidi na si kwa Slaa kushinda.
nafahamu kesho Slaa ataongea. Aongee chochote, bado CCM ndiyo bingwa na ataendelea kuwa bingwa milele kama tukiendelea kuwa wabinafsi kama tulivyoonyesha mwaka huu.
Kanyafu, Wanyakusa wote wanaakiri kasoro wewe tuu
Kanyafu.siku zote uongo haukai nyumba moja na ukweli.hata ufanye nini ukweli haufutiki kuwa Dr.Slaa alishinda uchaguzi huu.unajitahidi kuweka mambo ya upuuuuzi upuuuuzi wa kinafiki utadhani utakumbukwa madarakani na huyo Mkwere mwenzio,but huna chako.wewe ni jamii ya wale bendera fuata upepo.jamii hiyo haina chake tena kwa watanzania wa sasa.,we are a movement of positive thinking and attitude,pole sana mnafiki!
Kama ilivyotegemea, uchaguzi umeisha. Lakini jambo moja ambalo ni baya na la kinafiki, ni kitendo cha top brass ya Chadema kujaribu kumtosha mwenzao. Slaa. Kumtosa kwa maana ya kwamba kuteuliwa kugombea Urais, taaisisi ambayo ni ngumu sana kwa mfumo uliopo nchini humu. Haikuweza kufikiriwa kwamba mtu kama Slaa angeingia mkenge wa kuwania Urais ambao kamwe hasingeweza kuupata. Nasema kwamba asingeweza kuupata kwa sababu ni dhahili kuwa maeneo mengi ya nchii hii yamefunikwa sana na CCM kwa namna zote.
Ilikuwa ni jambo la maana sana kwa Chadema na vyama vingine kujaribu kuwaelimisha kwanza watanzania maana halisi ya vyama vingi. Watu wengi nchini mtu akiwa na hela huwa ni 'hero' na kitendo cha Slaa kutumia silaha ya ufisadi kwa namna yoyote ile haikuweza kusaidia chochote.
Tunatambua kuwa ni kweli kulikuwa na matatizo ya kupiga na kuhesabu kura. Pia tunatambua kuwa kulikuwa na uchakachuaji wa hali ya juu sana kutokana na woga wa CCM kushindwa. Lakini ukweli unabakia pale pale kuwa kama ambavyo Slaa anadai, kurudiwa kwa kuhesabu sana sana angeshangaa sana, maana uwezekano wa CCM kupata zaidi ulikuwa ni mkubwa mno.
Tusidanyanyike kwa propaganda za uwongo wakati sisi tuna akili nyingi sana. Ukweli unabakia kuwa Slaa kapigwa chini kabisa. Suala la kuwa watu wachache ndiyo waliopiga kura linachagisha uwezekano kuwa kama wangepiga wote basi CCM ingeweza kupata asilimia kubwa zaidi na si kwa Slaa kushinda.
nafahamu kesho Slaa ataongea. Aongee chochote, bado CCM ndiyo bingwa na ataendelea kuwa bingwa milele kama tukiendelea kuwa wabinafsi kama tulivyoonyesha mwaka huu.