Dr. amekuwa kijana kwakweli na wamependeza na wanaonekana ni wenye furaha hilo ndo jambo la Msingi, dr. anachukiwa kwa maamuzi yake binafsi kama raia wa Tanzania ingekuwa Enzi yuko chadema leo angemwagiwa sifa zoote, lakin kwa vile aliwapotezea na hakutaka kuwa mnafiki leo ataambulia matusi na kejeli, baba kula maisha haijalishi ni Mkimbizi au umekimbizwa Muhimu hujawa mtumwa wa Mbowe wala Lowasa uko huru, salute kwako mzee, MAISHA BAADA YA UCHAGUZI.
Ni mtu aliyetengana na mkewe ,kamuaaa kuishi na hawara...Si mbaya lakini inapunguza kuaminika kwako katika jamii.
hii msg ni yangu?? au umekosea?Nikisoma baadhi ya comments nashangaa sana.Watu baadala ya kuishi maisha yao kazi kuongea negative kuhusu wengine tu
Nimeona watu wengine wakitoa povu kuhusu Dr.Slaa kufunga ndoa utadhani sijui yeye kufunga ndoa imewaathiri nini
People should leave them alone
Dr. Slaa ni mtu mzima anayepaswa kuheshimiwa maamuzi yake binafsi
Wengine wanauliza mbona hajafungia ndoa Tanzania. What's that suppose to them?Au ni ile tabia ya kutaka kuzamia kwenye sherehe za watu tu. People should grow up.Hayo mambo yapo Tanzania tu.Dunia haipo hivyo
Watu wamuache afanye mambo yake badala ya kufanya mambo ili awaridhishe
Never please anyone at your own detriment.
Wengine wanahukumu na kujifanya wanajua sheria za Dini kuliko Dr.Slaa wakati hawajawahi kupata C kwenye somo la Bible Knowledge au Islamic kwenye mitihani yao ya kidato cha nne au Divinity Form Six angalao iwarekebishie credit za daraja la ufaulu yet wanamkosoa Ph.D holder wa Canon Law na kumhukumu utadhani wao ni living Saints.
That's just how losers and mediocres console themselves
They sh'd get a life .
Ushamba wake uko wapi?Huyu Mzee inaonekana ujana wake kuna mambo hakuyakamilisha mbona mshamba sana
Mtu kaenda kanisani kufunga ndoa unasema kuwa anapunguza uaminifu kwa jamii?Ni mtu aliyetengana na mkewe ,kamuaaa kuishi na hawara...Si mbaya lakini inapunguza kuaminika kwako katika jamii.
Well said......Nikisoma baadhi ya comments nashangaa sana.Watu baadala ya kuishi maisha yao kazi kuongea negative kuhusu wengine tu
Nimeona watu wengine wakitoa povu kuhusu Dr.Slaa kufunga ndoa utadhani sijui yeye kufunga ndoa imewaathiri nini
People should leave them alone
Dr. Slaa ni mtu mzima anayepaswa kuheshimiwa maamuzi yake binafsi
Wengine wanauliza mbona hajafungia ndoa Tanzania. What's that suppose to them?Au ni ile tabia ya kutaka kuzamia kwenye sherehe za watu tu. People should grow up.Hayo mambo yapo Tanzania tu.Dunia haipo hivyo
Watu wamuache afanye mambo yake badala ya kufanya mambo ili awaridhishe
Never please anyone at your own detriment.
Wengine wanahukumu na kujifanya wanajua sheria za Dini kuliko Dr.Slaa wakati hawajawahi kupata C kwenye somo la Bible Knowledge au Islamic kwenye mitihani yao ya kidato cha nne au Divinity Form Six angalao iwarekebishie credit za daraja la ufaulu yet wanamkosoa Ph.D holder wa Canon Law na kumhukumu utadhani wao ni living Saints.
That's just how losers and mediocres console themselves
They sh'd get a life .
Huo ni wimbo acha povu!Hata likiwa bei cheee lakini limempendeza, unaweza ukavaa kitu cha bei ghali na ukaonekana kituko mbele za watu, kiufupi ametokelezea, na dr. slaa hajasema yeye ni mtu wa kuvaa vitu expensive tuache wivu.
Nikisoma baadhi ya comments nashangaa sana.Watu baadala ya kuishi maisha yao kazi kuongea negative kuhusu wengine tu
Nimeona watu wengine wakitoa povu kuhusu Dr.Slaa kufunga ndoa utadhani sijui yeye kufunga ndoa imewaathiri nini
People should leave them alone
Dr. Slaa ni mtu mzima anayepaswa kuheshimiwa maamuzi yake binafsi
Wengine wanauliza mbona hajafungia ndoa Tanzania. What's that suppose to them?Au ni ile tabia ya kutaka kuzamia kwenye sherehe za watu tu. People should grow up.Hayo mambo yapo Tanzania tu.Dunia haipo hivyo
Watu wamuache afanye mambo yake badala ya kufanya mambo ili awaridhishe
Never please anyone at your own detriment.
Wengine wanahukumu na kujifanya wanajua sheria za Dini kuliko Dr.Slaa wakati hawajawahi kupata C kwenye somo la Bible Knowledge au Islamic kwenye mitihani yao ya kidato cha nne au Divinity Form Six angalao iwarekebishie credit za daraja la ufaulu yet wanamkosoa Ph.D holder wa Canon Law na kumhukumu utadhani wao ni living Saints.
That's just how losers and mediocres console themselves
They sh'd get a life .
haa wapi , mkewe si wameachanaNi mtu aliyetengana na mkewe ,kamuaaa kuishi na hawara...Si mbaya lakini inapunguza kuaminika kwako katika jamii.