Dr. Slaa naomba unisaidie kutafsiri maana ya Waraka na Tamko

Dr. Slaa naomba unisaidie kutafsiri maana ya Waraka na Tamko

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kwa heshima kubwa nakuomba Dr. Slaa ambaye najua umo humu jamvini unisaidie kunipa maana na tofauti ya maneno haya Waraka na Tamko.

Nimekuja kwako Dr kwa kuwa najua wewe ni mbobezi katika mambo ya dini lakini pia wewe ni mwanasiasa nguli.

Nina wasiwasi katika mjadala unaoendelea kuhusu Waraka wa Kanisa ama KKKT au Katoliki kuna kitu hakieleweki vizuri hapa duniani. Nijuavyo mimi ni rahisi sana kufuta Tamko ila kwa upande wa kufuta Waraka natatizika.

Mkuu Pascal unakaribishwa pia.

Ahsante!
 
Kwa heshima kubwa nakuomba Dr. Slaa ambaye najua umo humu jamvini unisaidie kunipa maana na tofauti ya maneno haya Waraka na Tamko.

Nimekuja kwako Dr kwa kuwa najua wewe ni mbobezi katika mambo ya dini lakini pia wewe ni mwanasiasa nguli.

Nina wasiwasi katika mjadala unaoendelea kuhusu Waraka wa Kanisa ama KKKT au Katoliki kuna kitu hakieleweki vizuri hapa duniani. Nijuavyo mimi ni rahisi sana kufuta Tamko ila kwa upande wa kufuta Waraka natatizika.

Mkuu Pascal unakaribishwa pia.

Ahsante!
wewe ni shida.
 
Kwa heshima kubwa nakuomba Dr. Slaa ambaye najua umo humu jamvini unisaidie kunipa maana na tofauti ya maneno haya Waraka na Tamko.

Nimekuja kwako Dr kwa kuwa najua wewe ni mbobezi katika mambo ya dini lakini pia wewe ni mwanasiasa nguli.

Nina wasiwasi katika mjadala unaoendelea kuhusu Waraka wa Kanisa ama KKKT au Katoliki kuna kitu hakieleweki vizuri hapa duniani. Nijuavyo mimi ni rahisi sana kufuta Tamko ila kwa upande wa kufuta Waraka natatizika.

Mkuu Pascal unakaribishwa pia.

Ahsante!

Table manners.
 
Huwezi kufuta nyaraka. Na ndio maana nyaraka Kama za kina mtume Paulo zipo mpaka kesho.

Serekale walikuwa wanapima tu upepo na walipoona Mambo yatakuwa magumu wakahamua kuufyata! Huwezi kushindana na nyaraka ukabaki salama
 
Tamko ambalo hata mimi naweza tamka na nikapuuzwa au kufatwa. Waraka ni ladhima ufatwe iwe kwa damu au Amani.
 
Back
Top Bottom