Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tehetehe
nimeona kwa tbc1 ila sasa hawa wote wana kdi ya kupigia kuraaa? na kama hawana wamekuja kusikiliza nadhani na ndipo hapo tathimini zetu huyumba na kama wana kadi za kupiga kura je wote wataenda piga kura siku hiyoooo?
Inabidi kuangalia lugha ya picha. Hii picha ni nzuri sana sana.
Ukiangalia picha nyingi, huwa zimekaa kishabiki shabiki. Hii ukiiangalia unaona jinsi sura za watu zilivyokuwa zikisikiliza somo kwa utulivu mkubwa na mawazo yao yote yako kwenye kitu anachokisema Dr. Slaa. Hata wale walioko kwenye Roli lenye spiker, nao hadi wengine wameshika mashavu. Ni babu tu hapo chini kushoto ndiyo alikuwa aki-smile. Sijui Makonde huyu mtani wangu aliona nini cha kuchekesha wakati nchi inaliwa na FALME ya Kikwere na CCM yao?
Hata Polisi na yule Mtoto, unaona wazi kabisa kuwa somo linaingia waziwazi. Nyuso unaona zimekata tamaa kabisa na kwa mbaaali wanapewa habari kuwa kuna Mwanga unakuja. Inachotakiwa kufanya ni kupiga kura tu.
Dr. Slaa hakikisha badala ya kuwahutubia watu, wewe fanya darasa. Kila anayekuja kwenye hotuba basi MFANYE KUWA MWANAFUNZI WAKO. Huyu Mwanafunzi apeleke habari nzuri kwa watu wengine wengi kuwa Mkombozi anakaribia. Saa ya ukombozi Tanzania inakaribia na kutoka sasa, Tanzania haitakuwa kama zamani. Watanzania wameamka na si miaka ya 60 ambapo ni Nyerere na wengine wachache walikuwa wameamka.
Mungu ibariki Tanzania.
Kura yako mpe Dr. Slaa
mi nakubaliana nawe kwa kiasi fulani kuwa maneno yanawaingia safi, ila kwa kusoma alama za nyakati nikuwa hii yote ni kwa maaandalizi ya 2015 ndipo hali itakuwa ndio siasa imepamba moto
mean while tu angaze macho yetu kwenye katiba ya JAMUHURI YA MUUNGANO YA TANZANIA kwa umakini ili huko tuendako tupate maisha bora sasa na elimu bora zaidi na matibabu safi
Mimi nawashauri sana Chadema wafike hadi zanzibar (Unguja na Pemba) kumnadi Dr.Slaa na mgombea mwenza kwani ktk kura za Rais wa Muungano Wazanzibar pia watakuwa na mchango mkubwa sana ktk kura zao.Sidhani kama kuna sehemu hakibaliki nchi hii. Labda Zanzibar maana huko sina communication, lakini sehemu nyingi ambazo nimefanya utafiti, Dr. Slaa anakubalika. Uzuri zaidi wana CCM wengi wamefikia hatua ya kukubali kuwa TUNACHAGUA MTU, SIYO CHAMA. 😛reggers:
Kura yako mpe Dr. Slaa
Kura nampa Dr.JK na mbunge napeleka chadema hapa nyamagana piga ua masha simpi na nin akaaa nae jirani hapa jirani twaangalia ziwani