Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
JK??
Amesema ameshaliandaa baraza la mawazi, na kama watu wakitaka atalisema
ameanguka huko hata hajitambui ngoja akizinduka tutajua kinachoendelea
Safi sana kila chombo cha habari kitumike kuwafikia wachaguaji na waamuzi ambao ni mbaga ya Watanzania waliochoshwa na ufisadi wa CCM wakiongozwa na Kikwete, Salma, Ridhiwani na Makamba.