TV itawaongezea CHADEMA kura. Aliyekataa mdahalo kajitia kitanzi mwenyewe! Uliona wapi mtu anataka kuoa lakini hataki kujitokeza mbele ya wakwe? Ati anataka kwenda ukweni kwa kunyata! Hiki kituko cha mwaka!
Mzee hapa tulipofikia ni sawa na Haiti ilivyokwa wakati wa PAPA DOC! Kikundi cha mafioso kilihodhi nchi hadi pale wananchi walipowatoa nduki! Tanzania inahitaji kuwatoa nduki wahujumu nchi sasa! bahati mbaya hawaruhusu sisi tulio nje kupiga kura, yangu ingeenda kwa SLAA. Siku ya kupiga kura walinde kura zao, wtu wasitoke vituoni hadi kurazihesabiwe.
Mungu ibariki Tanzania.