Akizungumza katika kipindi cha hotmix kinachorushwa na EATV, DK SLAA AMESEMA SUALA LA SERIKALI TATU SI LA CHADEMA BALI NI LA TUME YA WARIOBA. Amesema kuwa wanaotaka serikali mbili ni sawa na kuvunja msingi (foundation) iliyowekwa na tume iliyoongozwa na Jaji Joseph Sinde Warioba.