huoni aibu unapotosha
Kazungumza kudumisha Muungano.
Hakutamka muundo wa Muungano kuwa serikali 2 au 3
Yote yazungmzwe na kujadiliwa lakini tunahitaji maoni ya wananchi yapewe kipaumbele.
Tumependekeza kupitia tume kuwa ni serikali 3.
Swala la muungano ni la kujadili,na jibu lake ni uwepo au usiwepo.
Binafsi sioni faida yake...uvunjwe ili kila pande ijue inakosa vitu gani pasipo muungano.