Kama amebeep anaweza asipigiwe simu. kuna watu ukiwabeep hawapigi.
Ushauri wangu kwa Dr. Slaa, KAMA ALIWABEEP WATANZANIA, BASI WAMEAMUA KUMPIGIA, HAWABAHATISHI, AZIDISHE KAMPENI, NA AJIANDAE KUINGIA IKULU.
MSIOJUA NA MJUE SASA, NA KAMA HAMTAKI KUJUA TUTAWALAZIMISHA KUJUA, WAPELEKEENI SALAM NA CCM NAO WAJUE KUWA CHADEMA NA DR.SLAA (PHd) WAPO JUU, HABARI NDO HIYO.
Ushauri wangu kwa Dr. Slaa, KAMA ALIWABEEP WATANZANIA, BASI WAMEAMUA KUMPIGIA, HAWABAHATISHI, AZIDISHE KAMPENI, NA AJIANDAE KUINGIA IKULU.
Nawakumbusha CCM na maneno ya Lula wa Ndali-Mwananzela kuwa Mbinu ya vyombo vya dola kutumia nguvu kuzima mabadiliko zimeshaonyeshwa mara kadhaa kushindwa. Zimeshindwa Zimbambwe, zimeshindwa Ukraine, zimeshindwa Kenya, zitaendelea kushindwa kwani kila zama zina mashujaa wake na kila shujaa ana ujumbe wake.
Mbio za sakafuni huishia ukingoni...Mtashangaa siku ya mwisho kwani ilikuwaje enzi zile za Mrema...wafuasi niwengi sana lakiniwapigakura ni wachache....CCM for 2010 read my words hakuna cha DR slaa wala cousin wake Dr Slaa.....Lets Go CCM Na tulenge JUU Thats out Motto@.
xoxo BM
Pigia CCM peke yako ni haki yako. Heshimu haki ya wengine tunaokueleza wazi kuwa tutampigia slaa. Wizi wa CCM umedhibitiwa na utadhibiwa
.