Elections 2010 Dr. Slaa umebeep, watanzania sasa wamepiga!

Pigia CCM peke yako ni haki yako. Heshimu haki ya wengine tunaokueleza wazi kuwa tutampigia slaa. Wizi wa CCM umedhibitiwa na utadhibiwa
.


mkuu hao mavuvuzela hawajui hatima yao Dr.Slaa akiingia ikulu coz wanategemea fadhila za kupewa ukuu wa wilaya na usimamizi wa miradi ya kifisadi.
 
mkuuu umekuwa hivyo duuuuu usisahau kupiga kura basi na ntakukumbusha hiyo j2! Mwambie na bongeeeeeeee!
 

Binti Maringo unakosea unapofananisha mwaka 1995 na mwaka huu kuna utofauti kubwa sana. tofauti mojawapo mwaka 1995 watu wengi hawakujiandikisha lakini mwaka huu asilimia kubwa ya watu wamejiandikisha kupiga kura na hii inatokana na serikali kusema kuwa kitambulisho cha kupigia ndio kitatumika kupata kitambulisho cha uraia.
 
Somo kama linaelekea kueleweka!!!!!!!
 

yaani una-isifu ccm kama vile una maisha bora???? Naona kweli umeridhika na hali yako ya umaskini uliyo nayo - au mwenzetu wewe una maisha bora??? Je watanzania wenzako kule vijijini? Je watoto wa shule wanaokaa chini madarasani? Je wale wagonjwa waliolala chini mahospitalini? Je wale walimu na madakitari wanaolipwa hela kiduchu? Je wale wafanyakazi wanaokatwa kodi kuuuubwaaaa kupita kiasi??? Je rushwa iliyotawala inapelekea watu kufungwa bila hatia kwa kubambikiziwa kesi???? Umenishangaza sana - ama kweli unaweza kuwa na macho lakini huoni..... Mungu akufungue macho yako uone sawa sawa na kura yako ........................mpe dr. Slaa kwani ndie chaguo la watanzania walio wengi!!!!
 

Nimeipenda hiyo bold, ndio maana huwezi kuwa na mtazamo wa kimaendeleo kwa sababu upo zaidi kwenye enzi zilizopita wakati vizazi vinabadilika. Na tangu wakati wa Mrema Tanzania na watanzania wamebadilika sana.
 

Kweli wewe ni Pwagu, Pwaguzi yuko wapi siku hizi?
 
mkuuu umekuwa hivyo duuuuu usisahau kupiga kura basi na ntakukumbusha hiyo j2! Mwambie na bongeeeeeeee!

mie wakala jimbo la ubungo mkuu, bado tunahitaji mawakala waaminifu zaidi, vp nitoe jina lako?
 
True man, ila inategemea na aliebeep, ukiona missed call jina JK ofcoz kupiga itakua mgogoro maana unajua utasikia nyimbo zilezile ila kwa Jina kama Dr SLaa kupiga muhimu unajua utapata maneno ya mbolea.

Hii imeenda shule man
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…