Pigia CCM peke yako ni haki yako. Heshimu haki ya wengine tunaokueleza wazi kuwa tutampigia slaa. Wizi wa CCM umedhibitiwa na utadhibiwa
.
mwace aendeleze malingo yake!jina lako ni dhahiri una ya yule mgombea bingwa wa kucheza viduku
mkuuu umekuwa hivyo duuuuu usisahau kupiga kura basi na ntakukumbusha hiyo j2! Mwambie na bongeeeeeeee!watanzania sasa tumeendelea kidogo, tumetoka kudeep mpaka kubeep.
Kwa maoni yangu, dr. Slaa wakati anaombwa kuchukua form ya urais, nadhani alikuwa anajua kuwa hata pata urais, wala hakupima muitikio wa watanzania.
Nionavyo mimi chadema walimtumia dr. Slaa kugombea ili kuongeza viti vya wabunge kutokana na uadilifu wake ili kuuza wagombea wa udiwani na ubunge majimboni, pia huenda lengo na madhumuni ni kukikuza chama.
Kutokana na hali ya kisiasa kwa sasa na mwenendo wa kampeni ulivyo, na kutokana na ccm kuzidi kuweweseka, ni dhahiri kabisa kuwa mabadiliko makubwa yatatokea.
Dr. Slaa binafsi huenda haamini kinachotokea, chadema pia wanashangaa.
Ushauri wangu kwa dr. Slaa, kama aliwabeep watanzania, basi wameamua kumpigia, hawabahatishi, azidishe kampeni, na ajiandae kuingia ikulu.
Nawakumbusha ccm na maneno ya lula wa ndali-mwananzela kuwa mbinu ya vyombo vya dola kutumia nguvu kuzima mabadiliko zimeshaonyeshwa mara kadhaa kushindwa. Zimeshindwa zimbambwe, zimeshindwa ukraine, zimeshindwa kenya, zitaendelea kushindwa kwani kila zama zina mashujaa wake na kila shujaa ana ujumbe wake.
Mbio za sakafuni huishia ukingoni...Mtashangaa siku ya mwisho kwani ilikuwaje enzi zile za Mrema...wafuasi niwengi sana lakiniwapigakura ni wachache....CCM for 2010 read my words hakuna cha DR slaa wala cousin wake Dr Slaa.....Lets Go CCM Na tulenge JUU Thats out Motto@.
xoxo BM
Somo kama linaelekea kueleweka!!!!!!!Mbio za sakafuni huishia ukingoni...Mtashangaa siku ya mwisho kwani ilikuwaje enzi zile za Mrema...wafuasi niwengi sana lakiniwapigakura ni wachache....CCM for 2010 read my words hakuna cha DR slaa wala cousin wake Dr Slaa.....Lets Go CCM Na tulenge JUU Thats out Motto@.
xoxo BM
uzuri wa upinzani wa bongo ni mabingwa wa kulalamika na kushindwa yaani baada ya oct 31 ccm itapokuwa imetoa kipondo, dr. Slaa atakuwa kama mrema, bingwa wa kushindwa. Kisiasa a\takuwa kaisha, hata sasa si unaona kila siku yeye na wenzake wanaongoza kwa kampeni za malalamiko na udini.
Mbio za sakafuni huishia ukingoni...Mtashangaa siku ya mwisho kwani ilikuwaje enzi zile za Mrema...wafuasi niwengi sana lakiniwapigakura ni wachache....CCM for 2010 read my words hakuna cha DR slaa wala cousin wake Dr Slaa.....Lets Go CCM Na tulenge JUU Thats out Motto@.
xoxo BM
Uzuri wa upinzani wa bongo ni mabingwa wa kulalamika na kushindwa yaani baada ya oct 31 ccm itapokuwa imetoa kipondo, dr. Slaa atakuwa kama mrema, bingwa wa kushindwa. Kisiasa a\takuwa kaisha, hata sasa si unaona kila siku yeye na wenzake wanaongoza kwa kampeni za malalamiko na udini.
True man, ila inategemea na aliebeep, ukiona missed call jina JK ofcoz kupiga itakua mgogoro maana unajua utasikia nyimbo zilezile ila kwa Jina kama Dr SLaa kupiga muhimu unajua utapata maneno ya mbolea.