Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna vingi vya kufanya lakini tusifumbie macho wizi huu wa kura kwani kuachwa kwake kutasababisha kuendelea kwa utamadani wa ubabe na kutojali wala kuheshimu matakwa na utashi wa Watanzania. Ni lazima tupambane kila nyanja bila kuogopa uhaini huu mkubwa.Swali lako jema lakini naona kuna mambo mhimu ya kutafakari kwa sasa kuliko hilo; uimara wa chadema sasa ni zaidi ya 51, wengine wanagawana, kikubwa ni jinsi gani ya kuweza kudhibiti wizi wa kura wa waziwazi ilhali kuna watu na bunduki/mabomu zinazonunuliwa kwa kodi zetu;
Kuna vingi vya kufanya lakini tusifumbie macho wizi huu wa kura kwani kuachwa kwake kutasababisha kuendelea kwa utamadani wa ubabe na kutojali wala kuheshimu matakwa na utashi wa Watanzania. Ni lazima tupambane kila nyanja bila kuogopa uhaini huu mkubwa.