TANZIA DR. Theophir Kayombo afariki dunia

TANZIA DR. Theophir Kayombo afariki dunia

Musoma Yetu

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2016
Posts
2,633
Reaction score
2,297
Aliekuwa mgombea ubunge kupitia hatua za awali za kupata kupeperusha bendera ya c.c.m Musoma mjini Dr. Kayombo afariki ktk hospital ya Mkoa wa Mara alfajiri alipokuwa akipata matibabu.

Kayombo the Dr. alikuwa maarufu sana pale alipoimbwa na mwanamziki Bestnaso!

Kesho mwili utasafirishwa kuelekea Ludewa Iringa kwao.

Rest in piece Dr. Kayombo. Mwendo umeumaliza, na Musoma tutakukumbuka daima. Legacy uliyoiacha ni kubwa.
 
Inna lillah wainna ilaihyi rajiun.

Apumzike kwa amani[emoji120]
 
RIP Dr
Mbona wengine wamefanyiwa hii
1623961126228.png
na wengine hawawekewi
 
Back
Top Bottom