au kwa vile nimeandika kiswahili ndio uhamini. nimeshakwambia aliojiwa na mtandao wa The Mail. google utaona. pia ata vyombo vyote vya habari duniani vimeripoti.
tofaut ni kuwa mi nimeweka kwa kiswahili hii habari
Jamaa alisahau ili neno catheter, matokeo yake akaleta utata mkubwa. LolJamani someni vizuri. Ni condom catheter hata muhimbili zipo
Source? Ama mtoa mada ulikuwepo live?
Manake hiyo ya kuvaa condom kukinga mkojo hainiingii akilini. Why not use diapers? Napata picha naniliu ndani na mikojo inaingia. Technically....sounds 😕
Whatever happenned to doctor patient confidentiality? Au mtu akifa na yenyewe inaisha?
Halafu Michael kashajifia, tutajuaje kipi kweli na kipi ni self serving lies kutoka kwa huyu Dr. ?
Kajitakia..si alitaka uzuri ili awaridhishe binadamu...yuko jehanam saa hizi
Confidentiality si inasainiwa baina ya pande mbili? Pande moja ikishakufa hiyo agreement si inakuwa voided!
I was not sure about that, but I thought the spirit of confidentiality should prevail even after the death, because the name still lives and there could be family members in play.
This lit from General Medical Council UK seems to vindicate my view
GMC | Confidentiality guidance: Disclosure after a patient's death
In the US HIPPA enforces confidentiality even after death.
Patient's Guide to HIPPA – Learning About HIPAA: Do Privacy Rights Survive Death? | World Privacy Forum
And if that is the case, does confidentiality remain intact even in the court of law esp in the quest for truth where one speaks it under the oath?
Kwa hiyo akishamvalisha condom anaifunga na sealtape ama rubber band? Technically haiwezekani kukinga mkojo kwa kutumia condom.
Anawekea na suspender bana!
au kama sio hiyo basi kanyela mumo unazikumbuka!?
enheeeeeeeeeeeeeeeee hizo hizo sasa yey zake itakuwa zilikua zinaitwa kajojo mumo!
The links explain exceptions, court of law can be one of the exceptions, or a doctor may plead physician patient confidentiality just as an advocate may plead attorney client confidentiality or a husband may plead spousal confidentiality in some jurisprudence (in the US a husband can legally abstain from giving evidence that is wife incriminating and the wife vice versa)
As in many things in law, the facts of the individual case are arguable in determining which applies and which does not apply.
But in this case, there was no court of law rationale/exception.
It is not fair to the deceased, not only out of the legal angle presented above, but also out of common human decency.
Senator Byrd would say "Barbaric, barbaric, baaarbaaaric".
Mmh ina maana wale sio watoto wake??...