Dr. Zakir Naik: Huwezi kuwa muislamu kama huamini katika Yesu Kristu, aeleza pale Wakristo na Waislamu wanapotofautiana

Dr. Zakir Naik: Huwezi kuwa muislamu kama huamini katika Yesu Kristu, aeleza pale Wakristo na Waislamu wanapotofautiana

Cannabis

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2014
Posts
11,557
Reaction score
33,535
Dr. Zakir Naik, anasema kwamba hauwezi ukawa musilamu kama haumuani Yesu Kristu. Waislamu na Wakristu wanafanana katika mengi lakini utofauti ni pale wanapoamini kuwa Yesu Kristu ni Mungu ... Anachosema ni kuwa ukisoma biblia hakuna sehemu yoyote inayosema kuwa Yesu Kristu alisema yeye ni Mungu na abudiwe. Huu ndio ujumbe kutoka katika mdahalo wa Jesus & Muhammad Brothers in Faith.
 
Anachosema ni kuwa ukisoma biblia hakuna sehemu yoyote inayosema kuwa Yesu Kristu alisema yeye ni Mungu na abudiwe.
Bora wanaomuabudu Yesu, jamaa mmoja Youtube anasema kuna dhehebu lenye waumini wengi sana duniani linaabudu mfuko wa saruji 🏃‍♀️
 
Mimi naongeza
Wakristo wanasema Ibrahim alitaka kumtoa sadaka Isaka
Waislam wanasema Ibarahim alitaka kumtoa sadaka Ismail

Wakristo wanazikwa kwenye majeneza na makaburi yaliyojengwa toka chini
Waislam wanazikwa udongoni tena miili yao ikiwa kwenye jamvi na sanda
 
Back
Top Bottom