OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Nishauri niwekeje? Nichekeche vipiMbona jiko na Dinning havina ushirikiano...!?
Naona kama kuna shida tangu kwenye design mwambie tu aliechora aweke dining na kitchen pamojaNishauri niwekeje? Nichekeche vipi
Nimechora mwenyewe, nitafanyia kaziNaona kama kuna shida tangu kwenye design mwambie tu aliechora aweke dining na kitchen pamoja
We mwasibu wewe wanaitwaga architects hawaitwi architectureView attachment 3015413
It is just an idea na hizi dimensions na layout nimejaribu kuweka ili mwisho iwe kama hapa chini
View attachment 3015414
Hints
Colums za kubeba slab iwe 2.5m
Msingi wa kulia uwe coz 8 na kushoto uwe 4 tu ili ifanye ground floor ya kulia iwe juu kidogo(Tazama 3D)
Nirekebishe wapi wakuu kabla ya kuchek na Architecture, Structural. QS mtakuwa nyinyi wenyewe
Dining na sitting vihamishie huo upande wa jiko, then room ije palipo na sitting.....Nishauri niwekeje? Nichekeche vipi
Kuja kwako hapa kumenipa idea mbadala. Naiboresha nitarudi. Hechy Essy yupo vizuri no doubts. Lakini nataka nimpe ideas zangu ili azitafsiri kitalaamuDining na sitting vihamishie huo upande wa jiko, then room ije palipo na sitting.....
Au hamisha vyovyote vile ilimradi jiko na dinning vikae karibu.
Nb: toa kazi mwasibu vijana wapate maokoto kuna huyu mwanafamilia yupo vizuri Hechy Essy
Ahsante sana, pia tembelea app ya pinterest itakupa unachotaka, ramani zipo za kila aina na nzuri kabisa.Kuja kwako hapa kumenipa idea mbadala. Naiboresha nitarudi. Hechy Essy yupo vizuri no doubts. Lakini nataka nimpe ideas zangu ili azitafsiri kitalaamu
Chumba peleke next na chumba kingine,kilipokuwa chumba iwe dining+kitchen. Toa garage.View attachment 3015413
It is just an idea na hizi dimensions na layout nimejaribu kuweka ili mwisho iwe kama hapa chini
View attachment 3015414
Hints
Colums za kubeba slab iwe 2.5m
Msingi wa kulia uwe coz 8 na kushoto uwe 4 tu ili ifanye ground floor ya kulia iwe juu kidogo(Tazama 3D)
Nirekebishe wapi wakuu kabla ya kuchek na Architects, Structural. QS mtakuwa nyinyi wenyewe
Hiyo bath 8'X3' hapo ground floor haipaswi kukaa hapo. Pia stair case haijakaa sawaView attachment 3015413
It is just an idea na hizi dimensions na layout nimejaribu kuweka ili mwisho iwe kama hapa chini
View attachment 3015414
Hints
Colums za kubeba slab iwe 2.5m
Msingi wa kulia uwe coz 8 na kushoto uwe 4 tu ili ifanye ground floor ya kulia iwe juu kidogo(Tazama 3D)
Nirekebishe wapi wakuu kabla ya kuchek na Architects, Structural. QS mtakuwa nyinyi wenyewe
Bath nimeitoa hapo na kuiweka kwenye mapana ya chumba. stair case ataziboresha mtu wa ramani kitalaamuHiyo bath 8'X3' hapo ground floor haipaswi kukaa hapo. Pia stair case haijakaa sawa