Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,501
- 28,711
Baada ya Sisco kushindikana katika madraft Tanzania nzima , leo saa 5 usiku Kuna pambano
EXCLUSIVE
Timu: Mkulima Vs Sisco(Confirmed )
Mdhamini: Boss Java
Zawadi: 60,000 (Sisco anatakiwa azuie sare tu )
Lini: Leo Hii saa 5 usiku
Wapi: Online
Mfumo: Ngoma 24 - Omary + tege kumi za mzee Ngapu
Mratibu: Masta Mtemi
Note: Boss Java ametoa mzigo yaani Sisco azuie saree katika michezo 24 na Mkulima anatakiwa ashinde Pia Boss java ametoa elf 5 kila upande kwa ajili ya bando,,
Tajiri Java ameona mtoto sisco sasa anatakiwa kidraft aende levo nyingine maana kibiinadamu ameshindikana,, Weka bando saa 5 usiku moto utawaka[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
EXCLUSIVE
Timu: Mkulima Vs Sisco(Confirmed )
Mdhamini: Boss Java
Zawadi: 60,000 (Sisco anatakiwa azuie sare tu )
Lini: Leo Hii saa 5 usiku
Wapi: Online
Mfumo: Ngoma 24 - Omary + tege kumi za mzee Ngapu
Mratibu: Masta Mtemi
Note: Boss Java ametoa mzigo yaani Sisco azuie saree katika michezo 24 na Mkulima anatakiwa ashinde Pia Boss java ametoa elf 5 kila upande kwa ajili ya bando,,
Tajiri Java ameona mtoto sisco sasa anatakiwa kidraft aende levo nyingine maana kibiinadamu ameshindikana,, Weka bando saa 5 usiku moto utawaka[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]