Drama mpya ya familia ya Diamond Platinumz.. Reflection ya family zetu



katika familia siku zote ili familia iwe stable na yenye mshikamano inaanza kwanza ELIMU then after ELIMU ndio inakuja WEALTH .....na WEALTH iliyotokana na ELIMU utaipenda hakuna misuguano, drama wala vurugumechi mfano ukute familia wote ni madaktari au familia kila mtu ana kazi yake ya maana hiyo familia utaipenda sasa ukute familia ELIMU ni 0 halafu akaja mmoja akatoboa KIMUNGUMUNGU hivyo hivyo bila ya kuwa na ELIMU kichwani... na awe na ndugu zake sasa ni PATASHIKA nguo kuchanika... mbaya zaidi ukute hiyo familia inatoka hii mikoa ya karibia na BAHARI hii... ni shida aisee... kama mali ni za mwanaume akina dada watataka SHOGA yao ndio aolewe na kaka yao ... wanataka wao ndio wafaidi mali za kaka zao hata kama kaka yao ataoa wataona wifi yao anafaidi.. yaani ni shida DIAMOND alichokosea pale ni kuifanya ile nyumba ni Big brother

halafu akawa ana zari ambaye kakulia uzunguni na kina sijui nani nani watoto wa tandale mixer kinondoni ni shida
 
Mchezo na uendelee, sii muda mrefu Diamond atajua sababu za yeye kutelekezwa na baba yake enzi za utotoni.
 
Full drama.hii familia looh inataka kunishinda.Zari ilikuaje ukatoka hukooo kuja kuangukia kwa hawa watu?kila mwanamke analalamika kushindwa kuishi na hiyo familia juu ya visa na vituko vya mama na mwanae.solution huyo mama mkwe na wifi mtu si wawapishe hao kina Dee na Zee wao wakaishi kwao?Mond ana mijumba mingapi buanaaaa?
 
hawana kazi , mbona husikii ueen darleen anagombana na mtu
 
Umeongea vizuri.lakini hiyo elimu wame wameelimika kuwa na elimu tu si tatizo.nina wifi yangu anaelimu nzuri lakini mambo anayoyafanya...mpka mdogo wake anasema "dada yangu elimu haijamsaidia".nashukuru mungu I live miles and miles away from them hawawezi fika hata kusalimia.maanake nisingeweza kabisa.
 
Utashangaa na hizi drama zote mwingine atajaribu tena baada ya zari...ndo ujue wanawake ttunayafuataga matatizo wenyewe.
 
Ivi ile lovebite yenyew au ya kutengeneza
 
Wanaume wa dar.......umeona eeeh wa mkoa lazima waone wivu
 
Uzungu wa zari, unawapwelepweta akina ESMA, ...ngachoka pale esma anavyoimitatate kijisauti cha zari ( esp. akiwa anamsemesha tiffah zile like "show momy ") eti na yeye anamwita mwanae kwa hicho kijisauti + kiinglish..yani nilbaki kucheka...ESMA mshamba sana..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…