Draw ya klabu bingwa hatua ya 16 bora na playoff

Draw ya klabu bingwa hatua ya 16 bora na playoff

vibertz

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2022
Posts
2,474
Reaction score
4,726
Mechi za playoff kupata timu 8 zitakazoungana na top 8
IMG_20250131_144058.jpg

View attachment 3219804
 
Man city Vs R. Madrid

Hapo moto lazima uwake

Natabiri Man city kushinda
 
Draw ni kama vile haijakamilika, au watachezesha draw nyingine kwaajili ya hatua ya 16? Maana inaonesha mshindi kati ya Ac Milan vs Feyenoord pia Juventus vs PSV watacheza dhidi ya Arsenal ama Intermilan wakati huo Arsenal na Intermilan hawatocheza mechi yoyote zaidi ya kumsubiri atakayefuzu. Sijaelewa kwakweli
 
Man city Vs R. Madrid

Hapo moto lazima uwake

Natabiri Man city kushinda
City anaweza fungwa nje ndani kama ataendelea kuchezea mpira badala ya kucheza mpira.

Safu ya ulinzi ya City ni dhaifu mno kwa sasa kuliko Madrid ambayo imeimarika kiasi nyuma na imara zaidi katikati na mbele kuliko City.

Wakipigwa counter attack wanamkuta Vini au Mbappe wavuni.

Hivyo tunasubiri Kipara kuja na mpangokazi madhubuti ili kuwafulusha miamba hao wa Uefa, vinginevyo atavurugwa hadi kipara kitoke damu.
 
City anaweza fungwa nje ndani kama ataendelea kuchezea mpira badala ya kucheza mpira.

Safu ya ulinzi ya City ni dhaifu mno kwa sasa kuliko Madrid ambayo imeimarika kiasi nyuma na imara zaidi katikati na mbele kuliko City.

Wakipigwa counter attack wanamkuta Vini au Mbappe wavuni.

Hivyo tunasubiri Kipara kuja na mpangokazi madhubuti ili kuwafulusha miamba hao wa Uefa, vinginevyo atavurugwa hadi kipara kitoke damu.
Haha.......nakubali Mkuu

Vyema city wabadirike kama wanataka kucheza 16 bora
 
  • Thanks
Reactions: K11
Draw ni kama vile haijakamilika, au watachezesha draw nyingine kwaajili ya hatua ya 16? Maana inaonesha mshindi kati ya Ac Milan vs Feyenoord pia Juventus vs PSV watacheza dhidi ya Arsenal ama Intermilan wakati huo Arsenal na Intermilan hawatocheza mechi yoyote zaidi ya kumsubiri atakayefuzu. Sijaelewa kwakweli
Akina arsenal na mwenzake 7 wameshafuzu kwenda 16 bora thus wanawasubiria hawa wa playoff timu8 zifuzu kukutana na Akina arsenal kutengeneza last 16
 
Akina arsenal na mwenzake 7 wameshafuzu kwenda 16 bora thus wanawasubiria hawa wa playoff timu8 zifuzu kukutana na Akina arsenal kutengeneza last 16
Hilo la Arsenal na timu zingine kufuzu nalifahamu. Hoja yangu ni kwamba kwanini hawakumalizia draw kabisa kujua atakayeshinda dhidi ya Ac Milan vs Feyenoord atakutana na Arsenal au atakayeshinda dhidi ya Juventus vs PSV atakutana na Arsenal.

Wamechezesha draw lakini bado ipo kwenye mabano hadi sasa kilizokuwa wazi ni mechi za playoff pekee
 
Back
Top Bottom