DRC: M23 wateka tena Kavumu Airport.

Kama kweli rais kaenda valentine Paris na kilasiku wanamponda Macron huyu sekedi ni chizi aliyevaa suti. Kama ni kweli basi Trump Yuko sahihi mara mia 300
Hapana. Video inayosambaa mtandaoni ni ya mwaka 2021. Tujitahidi kuweka habari za ukweli, wasimuonee kisa ana wakati mgumu kwa sasa rais wa watu
 
Tshekedi kashindwa kuhuduria kikao Cha usuhishi hapa DSM

Ila kaweza kuhudhuria VALENTINE DAY uko mbali kabisa ufaransašŸ¤”
Mi naona Bora Tanzania tuwaondoe wanajeshi wetu walinda AMANI huko DRC, badala yake tuimarishe ulinzi kwenye hii mipaka yetu yaani Rwanda na expected annex yake..
Atakae jipendekeza kwetu, Maxi Nzengeli wa Chasambi ( role model) wetu awe Putin kule kwa Zele
(Kiendacho kwa mganga)
 
Amna kiongoz apo kaz yake kufura mashavu tu hamuoni zelensk wa Ukraine anambania nchi yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…