DRC: Mlipuko waua watu 6, wajeruhi 15

DRC: Mlipuko waua watu 6, wajeruhi 15

BigTall

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2022
Posts
525
Reaction score
1,257
Watu 6 wameuawa na wengine 15 kujeruhiwa kufuatia mlipuko uliotokea kwenye baa eneo la Goma katika Mji wa Kivu Kaskazini, nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, kulingana na vyanzo vya serikali hiyo ilikuwa ni taarifa ya awali.

Waathirika wawili katika tukio hilo maofisa wawili wa juu wa Jeshi la Congo, wanawake watatu na mtoto mmoja.


Source: Africanews
 
aya wakenya wakawekeze uko goma mana wana kelele eti ekali elfu...wanafikili eneo kubwa kila sehemu salama@mk254
 
Back
Top Bottom