DRC ndani ya EAC: Nini maana yake?


DRC, Tanzania, Uganda, Kenya, South Sudan, ni nchi muhimu sana duniani. DRC Ina kila kitu, mafuta, mbao, eneo, watu.

Unajua bandari tu ikifanya kazi kwa ufanisi itaikomboa Tanzania kusaidia sana DRC. Vitu vingi kwenye simu, mobile phone, mawasiliano vinatoka hapoo DRC. Mafuta, Gesi, madini ya lia namna yanapatikana hapa.
 
Haya mambo ya raisi hakosei sio bahati mbaya ni akili za ujamaa wa mwalimu huu,
Ukimuona Polepole anasema ujamaa ni iman ndio hiyo.
Jaribu kupitia ujamaa utaona Tanzania namna gani tunavyouishi kila siku.
 
Uchumi huria kwenye raia na viongozi wenye mawazo na akili za kijamaa.
Unaamini tunapaswa kuendelea na huu mfumo(kwa maana ya kuwa mfumo huu umefaulu).
Maana ya ujamaa wa Nyerere ulikua na lengo la kumuokoa mwananchi wa chini kabisa aliekua hana nguvu ya partnership na multi billion companies kutoka ulaya inayotaka kuwekeza Tanzania

Unafikiri kingetokea nini kama makampuni makubwa kutoka nje yangehodhi mashamba makubwa, migodi, mashirika makubwa ya Bima, Banks, Cooperates na Institutions kwa binafsi yao bila serikali kuwa na chochote cha kufanya dhidi ya wananchi wake?

Kama ulishafika South Africa ungekua na uwanda mpana wa jinsi ubepari unavyofanya kazi, hapa East Africa hakuna taifa lolote lenye ubepari angalau kwa 20%
 
Haya mambo ya raisi hakosei sio bahati mbaya ni akili za ujamaa wa mwalimu huu,
Ukimuona Polepole anasema ujamaa ni iman ndio hiyo.
Jaribu kupitia ujamaa utaona Tanzania namna gani tunavyouishi kila siku.
Tanzania sio Taifa pekee lilokua na ujamaa duniani, tena mataifa yaliokua na sera za kijamaa yapo vizuri kiuchumi kuliko mataifa ya Africa yaliyoanza na sera za kibepari toka mwanzo

80% Yana uchumi mkubwa kuliko mataifa yalioanza na ubepari

 
Sina tatizo na ujamaa wa Mwalimu miaka hiyo na hakuna
nchi yenye ubepari 100% shida ni kwa watu waliofuata kushindwa ku-twist na karne ya leo
Naamini isingekuwa vita ya kagera na kuanguka USSR ujamaa ungetupeleka mbali japo sio kwa karne hii.
Binafsi ni mwanafunzi mzuri wa Karl Max lakini karne ya leo inahitaji akili kubwa kujua wapi uapply ujamaa
na wapi uapply ubepari kitu ambacho viongoozi wamefeli.
 
Umesahau kuzungumzia lugha kwasababu eastern Congo wanaongea Kiswahili
 
Ni kweli kabisa, waliomtangulia Nyerere walikuja na sera zao nyingi mbovu, lakini nimeguswa kujua kiundani ile kauli yako kwamba ujamaa ndio uchawi wa Tanzania na Nyerere angekua Hai angetuomba msamaha juu ya Ujamaa, hoja ambazo Kwangu zina ulakini kidogo na huenda wengi wanawaza hivi bila utafiti.
 
Sina tatizo na ujamaa kabisa mkuu ila kwa karne hii inahitaji watu wenye akili kujua wapi
wa apply ujamaa na wapi wa apply ubepari.
Nnaupenda ujamaa lakini kwa sasa ubepari is the inevitable.
Tunahitaji watu wenye akili watakao weza ku-twist ndani ya ubepari inapotakiwa.
Sisemi watu wote wanaofuata mlengo wa ubepari wamefanikiwa ubepari bado umefeli latin america
baadhi ya maeneo ya asia pamoja na Africa.
Tatizo la Tanzania tunataka tu-interact na mabepari lakini hatuujui ubepari lazima
tupigwe.
Ndio maana nasema tujifunze ku-twisti kulingana na mahitaji.
 
Kielelezo bora cha ubepari Africa ni South Africa na Nigeria, hizi ni nchi ambazo kwa kiasi chake zipo kwenye middle line of capitalism kwa Nigeria na South Africa almost upper middle line lakini je maisha ya wengi wa wakazi wa kawaida wa hayo mataifa wanaendana na status ya uchumi wao?
 
Point yangu ni kwamba tunapoamua kufungamana na mabepari tusiende na mawazo ya kijamaa
twende kama mabepari vinginevyo tutatoa rasillimali zetu zote na bado tutakuwa maskini.
Tujue ubepari tunautummia wapi na ujamaa tunautumia wapi.
 
Ni kweli, study case ni makampuni mkubwa ya madini Tanzania yalioletwa na Mkapa na Kikwete (Nyerere aliyagomea mpaka Watanzania wajiweze iwe ni kwa partnership au wao wenyewe)

Je unafikiri bila mentality ya Nyerere kuhusu hizi multi-billion companies zinazochota rasilimali zetu muhimu sana ipo namna mtanzania wa kawaida anaweza kuhusishwa moja kwa moja na hii cake ya taifa tukiondoa kodi zitokanazo na uwekezaji na mirahaba, levies, ajira, social responsibility?

Ni haramu kwa serikali yenyewe kupata share kwenye haya Makampuni (ujamaa) since hakuna mtanzania mwenye uwezo wa kuingia ubia nao?
 
Ndio maana nikasema hawa waliingia kwenye ubepari bila kuujua ndio maana tukapigwa
bepari hana ndugu.
Hata sasa viongozi wana practice ubepari lakini hawaujui lazima tupigwe nadhani
Nyerere alikuwa anaujua vizuri ubepari hawa waliomfuata hawakujua ujamaa wala ubepari.
 
Point yangu ni kwamba tunapoamua kufungamana na mabepari tusiende na mawazo ya kijamaa
twende kama mabepari vinginevyo tutatoa rasillimali zetu zote na bado tutakuwa maskini.
Tujue ubepari tunautummia wapi na ujamaa tunautumia wapi.
Ila ujue ubepari ni watu binafsi wa nchi husika wanashiriki kuhodhi njia kuu za kiuchumi za Taifa (sio serikali 100% / serikali partially)

Kwa Tanzania yupo mtanzania yupi mwenye uwezo wa kuchimba gas au kuingia partnership na mgeni angalau ya 40% umiliki wa first class mining company?

Huoni ni muhimu serikali kuingia partnership (ujamaa) badala ya kuiachia company ya kigeni ichote rasilimali yote kwa kigezo kwamba sisi sio wajamaa?
 
Uko sahihi...
Ndio maana nasema viongozi waujue ubepari wajue namna ya kuishi nao.
Botswana imefanikiwa sana kwenye almasi sijui waliwezaje?
 
Uko sahihi...
Ndio maana nasema viongozi waujue ubepari wajue namna ya kuishi nao.
Botswana imefanikiwa sana kwenye almasi sijui waliwezaje?
Botswana ni nchi ya watu million 2.3 tu ni kama Zanzibar lakini ina utajiri mkubwa wa diamond japo kwa asilimia kubwa utajiri huo unamilikiwa na wazungu, kutokana na uchache wao na tayari lilikua ni settlers colony ilikua tayari imeshaendelezwa toka siku nyingi

Katika Africa ni Nyerere/Tanzania pekee ilijitahidi kuja na African modern mode of production/economy, kwa kuzingatia kwamba modes zote za economy whether capitalism or socialism are all imported kutoka kwa mataifa ya kigeni, huwa nawashangaa sana wale wanaompinga Nyerere.
 
good for you 👍🏾
 
Welcome kongo ... kilichobaki ni kumake sure kongo inakua salama
Actually Congo is a massive addition to the east Africa community...what we need to show them from now moving forward is that this is the best decision they've ever made by.
1.Helping the stabilize as a country.
2.Build an SGR railway and a road from Kenya,Tanzania to Congo...
3.Help them stabilize their mining sector so that their deep wealth benefits Congo and East Africa.
I think east Africa formation is now done now we built and super powerful country that will take on the world.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…