pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Kampuni za kikenya ambazo zinafanya biashara halali DRC na zinatoa huduma na ajira ambazo hazikuwepo hapo awali ndio unasema ni unyonyaji? Aisee ni utani au?Sisi tunalenga kuinyanyua DRC na si kuinyonya kama mnavyotegemea ninyi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hamjawekeza huko vizuri hadi sasa,fungeni bakuli.Sisi tunalenga kuinyanyua DRC na si kuinyonya kama mnavyotegemea ninyi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kenyans buanaaaaHAHAHAAAAA...."Rais wetu amekua kwenye mstari wa mbele katika kuhakikisha hiyo nchi imepata utulivu, ikiwamo kuhudhuria kuapishwa kwa rais wao mpya,"
Sent using Jamii Forums mobile app
Itabidi uongeze chaji kwenye ubongo ili uje kuelewa mchezo wote huu. Mumekua mkizungushana kwenye mbuyu na hawa DRC, mchezo unachezwa kivingine sasa.
Watu wanaoelewa kitu kinaitwa behind the scene interventions and games can easily interpret the following
- Kenya is the corporate headquarters for China, US, UK, EU to venture into Africa continent
- Nairobi being made a mineral trade hub
- Thousands of acres of arable land for commercial farming
- Mineral extraction rights
- Unlimited timber
- SGR hitting DRC and bridging Atlantic and the Indian Oceans
I can keep on writing all day and night but am damn sure this is beyond your pay grade/scale
Usijidanganye "BUSHA" Kenya haijawahi na bado siyo kimbilio la taifa lolote. Fuatilia mambo kwa kina, M7 ametamka zaidi ya mara tatu akihitaja Tz kuwa ndiyo second home yake. Kagame (Rw) sasa hivi Tz ndiyo mshirika wake mkuu, Nkurunziza alivyotaka kubeduliwa akiwa Dar Tz ndiyo imemrudisha kiti chake. Alishikwa mkono mpaka ikulu kwake na kurudishiwa nchi yake. Kila mkataba Tz akiugomea jua Brnd na yeye atagoma. Hiko anachokifanya Uhuru kwa Congo alisha jaribu kwenye EAC na CoW yake matokeo yake deal kubwa kuwahi tokea E.A kati nchi na nchi lilimponyoka mdomoni na kuliwa na Magu (EACOP). SGR ya Kenya ilichorwa vizuri itoke Msa ifike mpaka Kigali kupitia Kampala, baadae Kagame alibadili upepo na kurudi Tz na M7 anajiuliza mara mbili. Tz imesha pokea wakimbizi wa nchi zote za E.A na wanajua waki anza kuchinjana kimbilio ni Tz.Miaka ya nyuma hawa akina Congo,,Rwanda,,burundi,,uganda,,
kimbilio lao ilikua TZ lkn sahivi Kenya ndo kawa baba yao,,,
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha waende pupa kama kawaida yao si tunawachora tuu hahaahahHongereni sana nyangau, wazee wa kupita kwa mtelezo. Lile dude ni complex unless muwe mmetumwa.
Hii inaitwa tanguliza watoto baba atakuja baadaeNaona unajitoa to ufahamu hapa. mtakuja kushangaa upepo takavyo badilika kama kenye bomba la mafuta.
Hujui mjeshi wetu upo huko.Hadi sasa companies gani za Tanzania ziko DRC since 1961?
Nchi ya DRC ni ya pili kwa ukubwa Afrika, ina raia takriban milioni 80 na imejaa madini kote kote ikiwamo pia ardhi yenye rotuba kila sehemu, japo imekumbana na misukosuko ya ghasia, lakini taratibu raia wake wanapambana kubadilisha taswira ya nchi.
Rais wetu amekua kwenye mstari wa mbele katika kuhakikisha hiyo nchi imepata utulivu, ikiwamo kuhudhuria kuapishwa kwa rais wao mpya, ambapo yeye pekee yake ndiye alihudhuria, wengne wote alidai kubana matumizi.
Sasa taratibu na mikakati imeanza ya kuikaribisha DRC kwenye muungano wa EAC. Hii ni hatua nzuri sana maana EAC tumekua tukikwamishana kwa baadhi ya wanachama kudai kwamba ardhi yao ndio huwa inalengwa, sasa hapa anaingia mwanachama mwenye ardhi kubwa kupitiliza.
-----------------
Arusha. The East African Community (EAC) welcomes the intention of the Democratic Republic of Congo (DRC) to join the bloc, a senior official has said.
The Secretariat official said yesterday that they were awaiting an official letter from Kinshasa on the matter.
“DRC is a huge country with a great potential to strengthen the economic integration of our region,” he told The Citizen.
During his state visit to Kenya last week, the recently elected DRC president Felix Tshishekedi announced his country’s intention to apply for EAC membership. The secretariat’s official said news of DRC’s intention had in fact excited some EAC officials and affiliated institutions.
“DRC is more than a neighbour. It is a longstanding trading partner with practically all EAC states,” he said. EAC is an intergovernmental organisation composed of six countries namely; Tanzania, Uganda, Kenya, Burundi, Rwanda and South Sudan. According to Article 3 of the EAC Treaty, any country outside these can be granted membership of the Community provided it meets certain terms.
EAC officials ‘excited’ by Kinshasa request
thisdayes, naona unajivunia vitu visivyo vya kweli. Five of the most largest refugee populations in the world are in three Africa countries, Kenya, Ethiopia and Uganda. Pitia pitia hapa uone kama kuna jina la Tz. http://venturesafrica.com/these-5-a...ighest-number-of-child-refugees-in-the-world/
Jombaa unahitaji tafsiri? Kuna taarifa ya UNICEF ya wakimbizi watoto na pia kuna ya wakimbizi 'in overall' na hapo kati ya nchi zilizotajwa kwa kuhifadhi wakimbizi wengi duniani Kenya ni ya tatu. Tz haipo, rudi kwenye comment ya thisdayes kuhusu Tz kuhifadhi wakimbizi wote ukanda huu.Rafiki katika hiyo list unayoisema DRC wa kwanza, then Ethiopia and Uganda
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani wewe ndio unahitaji tafsirJombaa unahitaji tafsiri? Kuna taarifa ya UNICEF ya wakimbizi watoto na pia kuna ya wakimbizi 'in overall' na hapo kati ya nchi zilizotajwa kwa kuhifadhi wakimbizi wengi duniani Kenya ni ya tatu. Tz haipo, rudi kwenye comment ya thisdayes kuhusu Tz kuhifadhi wakimbizi wote ukanda huu.
HAHAHAAAAA...."Rais wetu amekua kwenye mstari wa mbele katika kuhakikisha hiyo nchi imepata utulivu, ikiwamo kuhudhuria kuapishwa kwa rais wao mpya,"
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahivyo hii list yako inaonesha kwamba Tz inaongoza Afrika kwa kuhififadhi wakimbizi kama mwenzako alivosema?Nadhani wewe ndio unahitaji tafsir
Hebu checki hiyo hapo chiniView attachment 1021449
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah, mkenya akireason unaweza ukacheka sana, eti Kenya imekuwa kwene mstari wa Mbele kuhakikisha nchi hiyo inapata utulivu, Ikiwemo kuhushuria kuapishwa kwa Rais wa Nchi hiyo[emoji2][emoji2][emoji2]
Kweli we jamaa ni Kiazi[emoji2]
Acha kutumia akili za makali*ni nili mention DRC, EthiopiaKwahivyo hii list yako inaonesha kwamba Tz inaongoza Afrika kwa kuhififadhi wakimbizi kama mwenzako alivosema?