Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hii ndio kauli ya Waziri wa Mambo ya Nje ya Nchi hiyo
Amesema kuendelea kufanya hivyo ni sawa na kuunga mkono kikundi cha M23 kinachofadhiliwa na Kagame
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mwamba namkubali sana.Tukifanya exchange kati huyu na mother itakuwa poa sana ili aje kunyoosha Tanganyika yetuView attachment 3222484
Hii ndio kauli ya Waziri wa Mambo ya Nje ya Nchi hiyo
Amesema kuendelea kufanya hivyo ni sawa na kuunga mkono kikundi cha M23 kinachofadhiliwa na Kagame
View attachment 3222485
Mavi yao, Arsenal ni kubwa kuliko Congo.View attachment 3222484
Hii ndio kauli ya Waziri wa Mambo ya Nje ya Nchi hiyo
Amesema kuendelea kufanya hivyo ni sawa na kuunga mkono kikundi cha M23 kinachofadhiliwa na Kagame
View attachment 3222485
[emoji1787] hawajui kwanini inaitwa the Gunners acha wachezee moto kitawarambaMavi yao, Arsenal ni kubwa kuliko Congo.
Says a Barça fan.
Visça Barça.
Alidai angekuwa na bandari kama Dar nchi ingekuwa tajiri na isingehitaji misaada wala mikopo.Huyu mwamba namkubali sana.Tukifanya exchange kati huyu na mother itakuwa poa sana ili aje kunyoosha Tanganyika yetu
Visca El Barca.Mavi yao, Arsenal ni kubwa kuliko Congo.
Says a Barça fan.
Visça Barça.
kosa kubwa wacongo wanashindwa, ni kuongea tu kiongozi wao kuhusu visit rwanda. wanachotakiwa, ambacho hata bongo tunatakiwa kufanya, ni kuajiri ma IT wa kutosha, washinde mitandaoni humo, na wawe wenye akili, wasikurupuke, wawe wale wanaoongea hoja tupu ila zenye damage kwa adui. ndivyo Israel alivyofaulu sana kwenye vita vya mtandaoni hadi adui hakai kwa amani na wengi wanashindwa kusapoti adui yao kwasababu wakijaribu tu wanashambuliwa mtandaoni. kwani kuajiri IT hata 200 au 500 ukawalipa pesa wakusaidie kazi, kunagarimu shilingi ngapi? mnaiba pesa ngapi huko maofisini ambazo zingesaidia mambo yenu kwenda vizuri kwa vita vya mtandaoni? nakuhakikishia, wangekuwa na IT mafia wengi, hata hao wanaofanya biashara na rwanda wangesitisha mikataba, wazungu wapo sensitive sana na uvunjaji wa haki za binadamu.View attachment 3222484
Hii ndio kauli ya Waziri wa Mambo ya Nje ya Nchi hiyo
Amesema kuendelea kufanya hivyo ni sawa na kuunga mkono kikundi cha M23 kinachofadhiliwa na Kagame
View attachment 3222485
Kagame aliishawahi kumnyoosha nani zaidi ya kuwaua Wahutu maskini?Huyu mwamba namkubali sana.Tukifanya exchange kati huyu na mother itakuwa poa sana ili aje kunyoosha Tanganyika yetu
Hojakosa kubwa wacongo wanashindwa, ni kuongea tu kiongozi wao kuhusu visit rwanda. wanachotakiwa, ambacho hata bongo tunatakiwa kufanya, ni kuajiri ma IT wa kutosha, washinde mitandaoni humo, na wawe wenye akili, wasikurupuke, wawe wale wanaoongea hoja tupu ila zenye damage kwa adui. ndivyo Israel alivyofaulu sana kwenye vita vya mtandaoni hadi adui hakai kwa amani na wengi wanashindwa kusapoti adui yao kwasababu wakijaribu tu wanashambuliwa mtandaoni. kwani kuajiri IT hata 200 au 500 ukawalipa pesa wakusaidie kazi, kunagarimu shilingi ngapi? mnaiba pesa ngapi huko maofisini ambazo zingesaidia mambo yenu kwenda vizuri kwa vita vya mtandaoni? nakuhakikishia, wangekuwa na IT mafia wengi, hata hao wanaofanya biashara na rwanda wangesitisha mikataba, wazungu wapo sensitive sana na uvunjaji wa haki za binadamu.
Hamjamwelewa ni wale walioko congo hasa Mashabiki wa gunnersMavi yao, Arsenal ni kubwa kuliko Congo.
Says a Barça fan.
Visça Barça.
Kuna Bayern na Psg piaDuh! Kwamba wataifanya nini arsenal wanaanza kuichokoza UK
Acha uongoHamjamwelewa ni wale walioko congo hasa Mashabiki wa gunners
Kwa upande huu namuunga mkonoAlidai angekuwa na bandari kama Dar nchi ingekuwa tajiri na isingehitaji misaada wala mikopo.