Duuh mimi najivunia kipa wangu tu na huyu wa ushambuliajiView attachment 2689532
Inabid uanze hivi huwezi anza na wa 80+ kwa sasa
Unafikisha Gems 345 kuna sehemu ya scout ipo unaweza mpata hata mbappe au haland filiDuuh mimi najivunia kipa wangu tu na huyu wa ushambuliaji
View attachment 2689591
Wameongezeka bei mkuu 😝Unafikisha Gems 345 kuna sehemu ya scout ipo unaweza mpata hata mbappe au haland fili
Gems situmii kusajilia baadae utazikumbuka ukiwa na full squad katika kuMaximize players , upatikanaji wa Gems ni ngumu ni vizuri kutumia coins katika kusajili Gems ukazihifadhi.Unafikisha Gems 345 kuna sehemu ya scout ipo unaweza mpata hata mbappe au haland fili
Anataka maendeleo ya chapGems situmii kusajilia baadae utazikumbuka ukiwa na full squad katika kuMaximize players , upatikanaji wa Gems ni ngumu ni vizuri kutumia coins katika kusajili Gems ukazihifadhi.
Sio hapo huku pemben kuna sehemu ya agent na Scout ni chini hapo mkono wa kuliaWameongezeka bei mkuu 😝
View attachment 2689884
Nimecheza zile mods walizohack za offline miaka 2018/2019 ni moto ...ina radha yakeHivi mmewahi kweli kucheza FIFA MOBILE ?
Weekend nitakutafuta... Na kikosi changu cha mchongo😃Code 3031.nichek kawaida tukipige 0687076714View attachment 2693178
Mimi pia nimejaribu DLS naona halina radha ukilinganisha na FiFa,, inshort DLS limekosa realismNimecheza zile mods walizohack za offline miaka 2018/2019 ni moto ...ina radha yake
Kuna mshkaji wangu Humwambii kitu kuhusu fifa nimejaribu kumleta dream league hataki
Radha ya Dls ni multiplayer...Mimi pia nimejaribu DLS naona halina radha ukilinganisha na FiFa,, inshort DLS limekosa realism
Game bovu hilo sijui kwann wanalipaishaRadha ya Dls ni multiplayer...
Cheza multiplayer.... HutojutaGame bovu hilo sijui kwann wanalipaisha
Atajiuliza swali moja tu "nilikuaga wapi?" [emoji16]Cheza multiplayer.... Hutojuta
Multiplayer mbona hata Fifa mobile ipoCheza multiplayer.... Hutojuta
Tena hili la 2023 ni zuri sanaaAtajiuliza swali moja tu "nilikuaga wapi?" [emoji16]