We boya Una mbwembwe Ila kucheza huwezi njo uchezee kanzu na Tobo za kutosha unaweza usiguse Mpira kabisa ukicheza na cc wataalamu
Ukiwa tayari nicheki nikubofye kizenjiMwanangu we uwezi kunifunga nimepitia post zenu na uhakika Humu sijaona wa kunifunga
Leta code upasukeMwanangu we uwezi kunifunga nimepitia post zenu na uhakika Humu sijaona wa kunifunga
Leta code upasuke
Ukiwa tayari nicheki nikubofye kizenji
Sawa usije kua kama mandonga ukalia mamaaa jamaa [emoji2957]Nikimaliza kukufunga we umtag aliekufundisha DLS ili nae nimfunge
We uwezi kunifunga Amini hivyoSawa usije kua kama mandonga ukalia mamaaa jamaa [emoji2957]
We ndezi njoo muda ndo huuPoah wait kdg kuna mgeni namsubiria anaweza fika muda sio mrefu so kwny Mida ya saa 12 au 1 njoo Tukutane Humu Humu nikufundishe mpira
Upo tuzameWe ndezi njoo muda ndo huu
Njo hapa we Teja leta code nikukandeNaona nyote Vibonde tu
Upo we KibondeNjo hapa we Teja leta code nikukande
Leta code Acha taarabuUpo we Kibonde
Ebu Njoo tuweke muda wa mpambano wetu naona unanikwepa snLeta code Acha taarabu