Dream League Soccer Special Thread

adriz matokeo haya ya kikatili umeyataka mwenyewe na lidomodomo lako hilo, wape tahadhari na wenzako
 
adriz matokeo haya ya kikatili umeyataka mwenyewe na lidomodomo lako hilo, wape tahadhari na wenzakoView attachment 2719483
Hiyo kawaida mimi nimekutembezea sana maana ukitoa 2 wewe una faida ya goli 4 kitu ambacho nimefanya sana.

Jana ulikuwa bora kidogo ukashinda kwa ushindi mwembamba wa kushinda mechi 3 na mimi 2 Kati ya mechi 5 wakati mimi nilikuwa Kipigo cha mechi 4 Kati ya 5 na ilikuwa siku mbili mfulilizo bingwa nilikuwa mimi.Sasa na wewe jivagae uje tena uone kama umebahatisha.
 
Ndo nini unachokiongea hiki?!

Siku zote nilizokuwa nakubonda mfululizo mfululizo na hata siongei umezisahau?

Umeongea takataka kama sio pumba, lete facts zenye kueleweka

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Nawaza namna ya kuanzisha mashindano kwa dream league ikiwa mameneja(wachezaji) watakuwa tayari.
 
Mod kama mtaweza heading hapo wekeni 2023 badala ya 2020 i.e DLS 2023
 
Naona bado mnashindana nan Yupo vzr zaid ya mwenzake
 
Yeah for sure Mr Innovator97 you're true legend of this thread and u know who's truly master[emoji1548][emoji1548]

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Hakuna asiyejua humu kuwa Innovator ni moja Kati ya viande wa chini kuwahi kutojea katika jukwaa hili ,sio ajabu kiande kumsifu kiande mwenzake maana ndege wanaofanana huruka pamoja .Ingekuwa singasinga ,eng na wengine walio katika peak umewafunga na wameAcknowledge uwezo wako hapo sawa.

Kwa kuhitimisha wewe ni Master wa viande fungal mabingwa ndio ujiite Master.
 
Utafika Mbali [emoji120][emoji120] Kwa kuwa Mkweli Huyo Fene nimecheza nae mara 2 Siku ya Kwanza Game 4 na zote nilimfunga na Siku ya 2 Game 2 na zote nikamfunga ss sijui ana umaster gan
Yani nyi viande kwa kupeana moyo
Haya Mr adriz kiande mwenzako kakuambia utafika mbali[emoji23][emoji23][emoji23]

Na wew Mr Jobless kuonesha hamna kitu ushaanza kuleta takwimu za uongo hapa, tumecheza siku 1 tu, baada ya hapo unanikimbia tu

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Da tangu huu mwaka uanze hakuna siku nimecheka Ka Leo [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…