Nkulu wa nchito
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 1,112
- 1,429
Sikuogopi twende hata saa hz tushajua mbinu zako cku hz nasikia umekua godoro la kijiji[emoji23][emoji23][emoji23]Sio bahati ni uwezo huyo jamaa kabahatisha mechi mmoja tu sasa jichanganyeni mchezee mvua za magoli nawapa tahadhari mapema kabla ya hatari.
Jaribu leo night kama mtandao ukikukubalia nikushushie kipigo kuanzia mida ya saa 4Sio bahati ni uwezo huyo jamaa kabahatisha mechi mmoja tu sasa jichanganyeni mchezee mvua za magoli nawapa tahadhari mapema kabla ya hatari.
Ngoja nianze nae saa hz huyuJaribu leo night kama mtandao ukikukubalia nikushushie kipigo kuanzia mida ya saa 4
Sent using Jamii Forums mobile app
@adriz unaitwa huku, mbona unakimbiakimbiaNasubiri mtu nataka nigawe dozi jaman
[emoji23][emoji23][emoji23]cku hz kajijua hana maajabu kwa hyo anarukia tawi hili mara lile
Sema saa ngapi nije mimi dozi tu.[emoji23][emoji23][emoji23]cku hz kajijua hana maajabu kwa hyo anarukia tawi hili mara lile
Sehemu nilipo kwa usiku mtandao haikubali hata kidogo.Jaribu leo night kama mtandao ukikukubalia nikushushie kipigo kuanzia mida ya saa 4
Sent using Jamii Forums mobile app
Matokeo ni batili tulisema gemu mbili tumecheza moja umekimbia hapo nishapewa point za bure maana gemu ya pili ilikua upigwe 7-0Mandoga kaingia choo cha popo bawaView attachment 2332326
Mandoga pro maxMatokeo ni batili tulisema gemu mbili tumecheza moja umekimbia hapo nishapewa point za bure maana gemu ya pili ilikua upigwe 7-0
Kuwa na kumbukumbu leo umelipa kisasi nimeshawahi kukupiga Rava 4 halafu sijakimbia mechi kama weweMandoga pro max
Acha kuonea vibonde nakusubirKuwa na kumbukumbu leo umelipa kisasi nimeshawahi kukupiga Rava 4 halafu sijakimbia mechi kama weweView attachment 2332328
Haya unawaambia nini mashabiki [emoji23][emoji23][emoji38][emoji38]
Cku hz Adriz watu wanajipigia tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mandoga kaingia choo cha popo bawaView attachment 2332326
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mandoga kaingia choo cha popo bawaView attachment 2332326
Wew mikwara tu bana, ngoja leo usiku nikunyamazisheNataka niwastafishe watu kucheza dream league yaan kuna mtu atalifuta game kwenye cm yake
Naona umemkamatia kibonde leo umefurahi, ukiwa na mda tena nicheki nikushushie tena kipondoMandoga kaingia choo cha popo bawaView attachment 2332326