Nkulu wa nchito
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 1,112
- 1,429
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dah!
adriz kashakuwa pombe ya ngamani ngoja niandae mitungi yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Fanya sana mazoezi mchana huu la sivyo utashushiwa gharika
Hapa nilikua na kikosi kibovu, saizi nishakiweka swa ni mwendo wa kugawa dozi tu.Kuwa na kumbukumbu leo umelipa kisasi nimeshawahi kukupiga Rava 4 halafu sijakimbia mechi kama weweView attachment 2332328
Haya unawaambia nini mashabiki [emoji23][emoji23][emoji38][emoji38]
Mbona mnanikimbia jamanHapa nilikua na kikosi kibovu, saizi nishakiweka swa ni mwendo wa kugawa dozi tu.
Twende na code hii InnovatorMbona mnanikimbia jaman
TwendeTwende na code hii Innovator
Tunacheza game ngpTwende na code hii Innovator
Nimekusubir sikuoniTwende
Anapata matokeo mabaya na alivyokosa haya bado anachangia hapa@adriz bahati zishakuwa zinakukataa sasa, naona nimebaki mim tu kujibutulia[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Umepata hata sare leo?Kuna yeyote humu nitoe dozi ?
[emoji23][emoji23][emoji23]ahaaa watu mna mikwara sanaMm ni nungunungu sikimbizwi wala sikimbiliwi we muulize adriz
We kibonde timu kubwa haina maajabu nani akukimbie ?Toka mchana nakimbiwa
Mm naweza nikacheza na yeyote humu bila ya kumweka kipa na fowadi na bado nikapa matokeoWe kibonde timu kubwa haina maajabu nani akukimbie ?
[emoji23][emoji23]Ile ilikuwa zamani sana ila kwa sasa hauniwezi tena