[emoji23][emoji23]Acha kujikita Master na kuchukua cheo changu wakati tokea unizidi siku ya kwanza hujawahi tena na umekua kiande wangu kila siku.
Level za kangaloo [emoji23][emoji23]Acha kujiita Master na kuchukua cheo changu wakati tokea unizidi siku ya kwanza hujawahi tena na umekua kiande wangu kila siku.
Lipiganie jina kisha ujiite nado upo levo za kangaloo halafu unajiita Master [emoji23][emoji23][emoji38]
Join link hapo juu,Fene kiande ataiabisha JamiiForum wacha master niende na benders ya hili jukwaa nilete Kombe humu na niiheshimishe Jf
Lete code kwanza tukapimane uwezoJoin link hapo juu,
Nipo kitambo na nishatuma timu yangu iwe kwenye ligi.Join link hapo juu,
Acha kukimbilia viande njoo uplay na mimi.Lete code kwanza tukapimane uwezo
[emoji23]A
Acha kukimbilia viande njoo uplay na mimi.
Delle4 nakusubiri.[emoji23]
Poa twenzetu
Sasa hiyo ligi mda wa kucheza unapangiwa au?Nipo kitambo na nishatuma timu yangu iwe kwenye ligi.
Sijui mimi coz mgeni labda ,nasikia kuna mpk kupanga makundi Singasinga atoe muongozo nimejiunga tu kule maana huku naona naharibu kiwango changu viande wengi .Sasa hiyo ligi mda wa kucheza unapangiwa au?
Utanipa muongozo juu ya hilo basi ukishapata uzoefuSijui mimi coz mgeni labda ,nasikia kuna mpk kupanga makundi Singasinga atoe muongozo nimejiunga tu kule maana huku naona naharibu kiwango changu viande wengi .
Kule kuna watu timu nzima wats 97 ,96 halafu mafundi balaa mimi Master wako sikuamini sasa wewe kiande wangu unapata wapi nguvu ya kusema hayo ?Utanipa muongozo juu ya hilo basi,
ila naona kabisa nikiingia humo vikombe vyote nitavikusanya mimi
Mafundi huwa hatuogopi hizo rating, tunaamini uwezo wetu na tupo vizuri kwelKule kuna watu timu nzima wats 97 ,96 halafu mafundi balaa mimi Master wako sikuamini sasa wewe kiande wangu unapata wapi nguvu ya kusema hayo ?
Twende now acha maneno mengi mimi dozi tu kiande sana.Mafundi huwa hatuogopi hizo rating, tunaamini uwezo wetu na tupo vizuri kwel
Wew bado kabisa, hiv unajua nikiwa siriasi hata tucheze mechi 10 hupati hata goli 1?
Poa twenzetuTwende now acha maneno mengi mimi dozi tu kiande sana.
Code ileile twende chap .Poa twenzetu
Vp mtandao unaznguaCode ileile twende chap .
YahVp mtandao unazngua
Nililala mda huuOya upo?
Twenzetu