Driving enthusiasts, Iyovi endesha ukiwa umetulia!

Driving enthusiasts, Iyovi endesha ukiwa umetulia!

masopakyindi

Platinum Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
18,207
Reaction score
13,839

Kwa wale wenzangu enthusiasts wa driving stretch ya DSM -Mbeya and beyond.

Nimewawekea clip ya sehemu za Iyovi.

Sehemu hizi inabidi upende usipende uendeshe kwa adabu, na spidi ndogo.

Uki overspeed uendeshe kwa spidi ku overtake malori bila mpango, baasi mabonde hatari na miti na mito inakukaribisha.
 
Iyovi...Hata mimi nilijua hivyo ila nakumbuka January 07 2021..Dereva dei waka wa basi 'pendwa' aliikata Iyovi spidi 90 ~ 110Km/h,sikuamini mpaka nilivyoiona mikumi hii hapa..

Barabara hizi ni uzoefu..wewe na mimi tu apita mara 2 mpk 4 kwa mwaka ila kuna wababe wanapita kila siku 2 wanajua mibinuko yote..
 
Iyovi...Hata mimi nilijua hivyo ila nakumbuka January 07 2021..Dereva dei waka wa basi 'pendwa' aliikata Iyovi spidi 90 ~ 110Km/h,sikuamini mpaka nilivyoiona mikumi hii hapa..

Barabara hizi ni uzoefu..wewe na mimi tu apita mara 2 mpk 4 kwa mwaka ila kuna wababe wanapita kila siku 2 wanajua mibinuko yote..
Ni kweli, lakini ndio sehemu madereva wengi gari inawazidi ujanja.
Barabara haina banking(au superelevation) hivyo spidi ikizidi kwenye kona unaona gari limeingia gema au liko mtoni.
 
View attachment 2320457
Kwa wale wenzangu enthusiasts wa driving stretch ya DSM -Mbeya and beyond.

Nimewawekea clip ya sehemu za Iyovi.

Sehemu hizi inabidi upende usipende uendeshe kwa adabu, na spidi ndogo.

Uki overspeed uendeshe kwa spidi ku overtake malori bila mpango, baasi mabonde hatari na miti na mito inakukaribisha.

Sasa kwa safari ya Dar - Mbeya, ili kuifanya safari isiwe ndefu kuna vipande ambavyo unatakiwa ukamue haswa...

Moja ya vipande hivyo ni kati ya Moro - Doma, Mikumi - Iyovi - Ruaha, then kuna Makambako - Iringa na mwisho ni Moro - Chalinze...

Hapo Iyovi watu tunatembea 150+, Iyovi ina kona za hatari 3 hivi basi...
 
Sasa kwa safari ya Dar - Mbeya, ili kuifanya safari isiwe ndefu kuna vipande ambavyo unatakiwa ukamue haswa...

Moja ya vipande hivyo ni kati ya Mikumi - Iyovi - Ruaha, then kuna Makambako - Iringa na mwisho ni Moro - Chalinze...

Hapo Iyovi watu tunatembea 150+, Iyovi ina kona za hatari 3 hivi basi...
Mkuu hapo umeongea point mimi humu ni mwendo wa 110 au 120...tena nyakati za usiku kuna kua kumetulia unaangalia tu IT wasikugonge...kutoka Iyovi mimi hua ni mbio mpaka mitaa ya Mzumbe huko mangae na mangai ni kuepeleka moto kwenda mbele njia ya mbeya raha sana....
 
Mkuu hapo umeongea point mimi humu ni mwendo wa 110 au 120...tena nyakati za usiku kuna kua kumetulia unaangalia tu IT wasikugonge...kutoka Iyovi mimi hua ni mbio mpaka mitaa ya Mzumbe huko mangae na mangai ni kuepeleka moto kwenda mbele njia ya mbeya raha sana....

Naam, na kwa kuongezea tu kuna taadhari kadhaa inabidi uzingatie ukitaka kwenda mwendokasi Iyovi.

i. Nyakati za usiku kuwa makini na vicheche, washa taa kali na kama una matatizo ya macho nenda mwendo wa kawaida, pia endesha gari kati...

ii. Nyakati za mchana, piga hesabu vizuri ya kutopita Iyovi nyakati mabasi yanatoka Dar, mabasi yakiwa yanaelekea huko mikoani hadi yanafika Iyovi huwa yanaongozana kwa wingi na huanza kupita mitaa hiyo mapema mchana mchana hivi...
 
Sasa kwa safari ya Dar - Mbeya, ili kuifanya safari isiwe ndefu kuna vipande ambavyo unatakiwa ukamue haswa...

Moja ya vipande hivyo ni kati ya Moro - Doma, Mikumi - Iyovi - Ruaha, then kuna Makambako - Iringa na mwisho ni Moro - Chalinze...

Hapo Iyovi watu tunatembea 150+, Iyovi ina kona za hatari 3 hivi basi...
Mkuu Iyovi at 150+ na kona kona zile?
Its almost impossible.
Ndio maana nikatoa tahadhari.
Stretch ya kukamua(hasa usiku), ni Moro- Doma, Ruaha-Comfort, Msitu wa Sao Hill, Makambako-Igawa.
Hapo hali ikiruhusu hata 200-220+ unakamua.
 
Kuna Yule dereva mmoja wa bus anasema Arusha mwanza Kuna Kona tatu tu miaka ya nyuma
Sasa kwa safari ya Dar - Mbeya, ili kuifanya safari isiwe ndefu kuna vipande ambavyo unatakiwa ukamue haswa...

Moja ya vipande hivyo ni kati ya Moro - Doma, Mikumi - Iyovi - Ruaha, then kuna Makambako - Iringa na mwisho ni Moro - Chalinze...

Hapo Iyovi watu tunatembea 150+, Iyovi ina kona za hatari 3 hivi basi...
 
Mkuu Iyovi at 150+ na kona kona zile?
Its almost impossible.
Ndio maana nikatoa tahadhari.
Stretch ya kukamua(hasa usiku), ni Moro- Doma, Ruaha-Comfort, Msitu wa Sa HillMakambako-Igawa.
Hapo hali ikiruhusu hata 200-220+ unakamua.

150+ nimeendesha sana tu malafyale, na huwa napenda niwe na mtu tunasindikizana haswa gari za IT...

It's true, tahadhari ni muhimu haswa kwa mtu mgeni sababu ukinogewa kuna kona kama 3 hivi zile ni konyo, unakuwa kama unazunguka round about kubwaaa...
 
Kabla ya kupita Msambiazi nilikuwa nasikia 'msambiazi this msambiazi that' kuja kupita nikauliza kona zenyewe ndio hizi?!! Inawezekana hizo kona ni kali kwa buses na trucks ila mwenye gari ndogo mbona unalala nazo tu.
 
Nimesoma hizi comments zenu moyo wangu umetamani Sana safari ndefu,kwangu Mimi nahisi kitu ambacho napenda hapa duniani Ni kutembelea sehemu mbalimbali hasa ukiwa na familia na mfukoni upo njema hakika ni Raha sana
 
Mkuu bado sehemu hizo ni hatari kwa spidi kali.
Nilimwazima shemeji yangu gari akielekea msiba wa baba yake huku Tukuyu.
Hakufika salama.
Gari aliipiga chini hapo Iyovi, aliingia gema- karibu na sehemu sasa inapanuliwa.
Nikapata kibarua cha kuifuata gari, maana yeye ilibidi apate usafiri mwingine kwenda msibani.
Hadi leo, napaheshimu.
Duh, pole

Naamini hakuwa mzoefu au alikosa umakini tu...
 
Iyovi...Hata mimi nilijua hivyo ila nakumbuka January 07 2021..Dereva dei waka wa basi 'pendwa' aliikata Iyovi spidi 90 ~ 110Km/h,sikuamini mpaka nilivyoiona mikumi hii hapa..

Barabara hizi ni uzoefu..wewe na mimi tu apita mara 2 mpk 4 kwa mwaka ila kuna wababe wanapita kila siku 2 wanajua mibinuko yote..
Wewe unataja basi la Sauli.

Jamaa wana leseni ya kukatiza maeneo hayo speed kali na hawafanywi lolote
 
Back
Top Bottom