luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Wadau habari zenu
KWA utafiti mdogo niliofanya lwa kutazama pindi ninapokuwa njian kutelekeza ktk mishe mishe zangu nimeona driving school nyingi gari za kufundisha unakula body imechokaaaaa ...yaan una shangaa hii gari nayo ina faa kutembe barabarani ?
Kuna ka chuo ka wahindi kako upanga hawa jamaa Wana gari mpyaaa yaan plate no.inasoma.DN, DQ , DG kale.kachuo nikikataja dezain ninkama nitakuwa nawapa millage lkn tukikutana na gari zao yaan quality
Serikali kupitia mamlaka husika embu angalieni ivi vyuo mnavyovipa ruksa ya kutoa haya mafunzo wawe na gari ambazo zipo ktk bali nzuri
KWA utafiti mdogo niliofanya lwa kutazama pindi ninapokuwa njian kutelekeza ktk mishe mishe zangu nimeona driving school nyingi gari za kufundisha unakula body imechokaaaaa ...yaan una shangaa hii gari nayo ina faa kutembe barabarani ?
Kuna ka chuo ka wahindi kako upanga hawa jamaa Wana gari mpyaaa yaan plate no.inasoma.DN, DQ , DG kale.kachuo nikikataja dezain ninkama nitakuwa nawapa millage lkn tukikutana na gari zao yaan quality
Serikali kupitia mamlaka husika embu angalieni ivi vyuo mnavyovipa ruksa ya kutoa haya mafunzo wawe na gari ambazo zipo ktk bali nzuri