Drogba kuwa mwiba kwa mashetani wekundu?


Sio hivyo tu!
Mabeki wa Liverpool wali chachawa kwenye gemu ya kwanza na kujikuta wakiusukumiza mpira wavuni wao wenyewe!
Kivuli tu cha Drogba hawa watu wana hunya hunya!
 


Hii mutu isipewe hizi nafasi!
Balaa tupu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…