Financial Analyst
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,849
- 3,506
Achana na Drogba! Hapo Hana mpinzani!! Anawaacha wenzake kwa mbali!! Anayefuatia hapo ni Rooney na Aguero wa mwisho!!Hawa ni miongoni mwa the best strikers kuwahi kutokea katika historia ya soccer.
Bila ushabiki wa team husika na mchezaji husika, ni striker yupi kutokana na ubora wake atashika nafasi ya 1, 2 na 3?
Achana na Drogba! Hapo Hana mpinzani!! Anawaacha wenzake kwa mbali!! Anayefuatia hapo ni Rooney na Aguero wa mwisho!!
Drogba ni pure striker aina ya kina Ronaldo orignal (yule wa Brazil)!
Hapo kwa maoni yangu ni kwamba tunakosea kumlinganisha Wayne Rooney na hao ma central striker, jamaa amecheza Sana kama kiungo na sio strikerHawa ni miongoni mwa the best strikers kuwahi kutokea katika historia ya soccer.
Bila ushabiki wa team husika na mchezaji husika, ni striker yupi kutokana na ubora wake atashika nafasi ya 1, 2 na 3?
Safi sanaHapo kwa maoni yangu ni kwamba tunakosea kumlinganisha Wayne Rooney na hao ma central striker, jamaa amecheza Sana kama kiungo na sio striker....
[emoji3][emoji3][emoji3] ila sikushindi wewe na Yanga yako Mkuu, me sijawahi kuacha mahaba yanitawale, waga mtu wa facts sana na sio mahaba niueSasa mbona ukiongelea habari za Simba akili hua zinakutoka kumbe unazo
Hawa ni miongoni mwa the best strikers kuwahi kutokea katika historia ya soccer.
Bila ushabiki wa team husika na mchezaji husika, ni striker yupi kutokana na ubora wake atashika nafasi ya 1, 2 na 3?
Acha kumfananisha Drogba na vitu vya ajabu.Hawa ni miongoni mwa the best strikers kuwahi kutokea katika historia ya soccer.
Bila ushabiki wa team husika na mchezaji husika, ni striker yupi kutokana na ubora wake atashika nafasi ya 1, 2 na 3?