Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Kwa nyakati fulani, hawa walikuwa mastraika tegemeo kwenye vilabu vyao. Didier Drogba "The African James Bond" akiwa tegemeo kubwa pale Chelsea ilhali Wayne Rooney "Wazza" a.k.a "The White Pele" akiwa muhimili wa mafanikio Man Utd.
Nyakati zimekimbia, Drogba ameshastaafu soka la ushindani wakati Rooney yupo akimalizia soka lake huko Marekani.
Kama uliwahi kuwashihudia mastaa hawa wakitamba EPL na UEFA, tuweke ushabiki wa vilabu vyetu kando, yupi ulimkubali sana?
Nyakati zimekimbia, Drogba ameshastaafu soka la ushindani wakati Rooney yupo akimalizia soka lake huko Marekani.
Kama uliwahi kuwashihudia mastaa hawa wakitamba EPL na UEFA, tuweke ushabiki wa vilabu vyetu kando, yupi ulimkubali sana?