Yah, nakuunga mkono hoja yako
Kitendo tu cha kuzaliwa ulaya tiar wewe ni mzungu hata kama una ngozi nyeusiAcha hizo mkuu, Pele Ni mweusi na alikuwa, vipi kuhusu Eusebio na Weah
Naomba nikuulize kati ya Eto na Drogba nani zaidi?
Wenzetu wana mifumo mazuri na watu wanaishi dream zao, Adebayor alisingizia kulogwa, ya Eboue unayafahamu pia?
Kitendo tu cha kuzaliwa ulaya tiar wewe ni mzungu hata kama una ngozi nyeusi
Kwahiyo huyo pelle alikuwa ni mzungu ingawa ngoz yake ilikuwa nyeusi
Kwa hiyo rooney alikuwa akipotea mech kubwa? [emoji23][emoji23][emoji23] bongo bahat mbayaDidie drogba nilipenda cos alikuwa mchezaji kwa ajili ya mechi kubwa
Alikuzwa? Angalia top scorer wa premier league top scorer wa timu ya taifa ya uingrereza top scorer wa manchester united unawezaje kusema alikuzwa?Rooney alikuzwa tu kwa vile ni muingereza, kuwepo kwa Ronaldo Man u kulichangia yeye kuwa mchezaji mzuri,Kwangu mimi Didier Drogba ni zaidi ya Rooney.
Wengine humu wanaongozwa na hisia sio uhalisia rooney kamuacha mbali sana drogba fikiria kwa umr ule miaka ile anaingia kwenye timu kubwa moja kwa moja kikosi cha kwanza halafu mtu wanaemjadili na mfungaji wa pili wa muda wote wa ligi kuu ya uingerezaYou cant be serious mkuu, Rooney na Ronaldo wamecheza pamoja at top level misimu 3 tu.
Ronaldo anaondoka man utd na Rooney anafunga goli 39 na 40 misimu miwili tofauti. Kifupi rooney alikuwa mfungaji zaidi Ronaldo alipoondoka.
Na hata Afunge goli ngapi Rooney Atakupa assist kama 10 hivi kila msimu.
Kukuzwa na media kama timu yao ya taifa inavyokuzwa wakati in reality ENGLAND ni timu ya kawaida tu.Alikuzwa? Angalia top scorer wa premier league top scorer wa timu ya taifa ya uingrereza top scorer wa manchester united unawezaje kusema alikuzwa?
Mfungaji bora wa muda wote national team mfungaji bora wa muda wote manchester united mfungaji bora wa pili wa muda wote ligi kuu ya uingereza anakuzwaje?Kukuzwa na media kama timu yao ya taifa inavyokuzwa wakati in reality ENGLAND ni timu ya kawaida tu.
Hivi unajua kama drogba hayupo hata top 10 ya wafungaji bora wa ligi kuu ya uingereza? Huyo alikuwa ni mshambuliaji gani kama hata top ten hayupo? Yaani hata scholes yupo juu yake kwa wingi wa magoli halafu mnampambanisha na rooney acheni utaniKwahiyo umeuliza swali ukiwa na jibu lako?
Naona mashabiki wa mwanitesa united mnajifariji
Endeleen
mi sijamaanisha hivyo ila wapo wanaomtetea Drogba kwa sababu tu ni mweusiKwa hiyo tumtee Drogba kwa kuwa mweusi au mi ndo sijaelewa?!
Haina tu mafanikio ila usiseme ni timu ya kawaidaKukuzwa na media kama timu yao ya taifa inavyokuzwa wakati in reality ENGLAND ni timu ya kawaida tu.
Brazil siyo ulaya na wabrazil si wazunguKitendo tu cha kuzaliwa ulaya tiar wewe ni mzungu hata kama una ngozi nyeusi
Kwahiyo huyo pelle alikuwa ni mzungu ingawa ngoz yake ilikuwa nyeusi
Kama nani?Mbona hatuwatetei sasa wazuri waliopo?
Nisiseme kwanini?Haina tu mafanikio ila usiseme ni timu ya kawaida
utakuwa muongo au una wivuNisiseme kwanini?
sawautakuwa muongo au una wivu
Brazil siyo ulaya na wabrazil si wazungu