green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Ilianza kwenye Ndege za Abiria. Sasa hivi ni Ndege Drone🤣Disappearance is fast becoming a very common strange social term these days.
hali ya ukungu inaendeleaDrone ya upelelezi ya US imepotea kwenye rada wakati ikiendelea na jukumu la Kijasusi huko bahari nyeusi. Wachunguzi wa mambo wanasema Russia ameishusha na kupeleka kusikojulikana.
#BREAKING: US drone Global hawk flying over black sea to collect intelligence of Russian naval fleet, got disappeared from the radar.
—Current Report
Taife teule la wakristo wameishusha 😄hali ya ukungu inaendelea
The Giants wameshaichukua hiyo!@RussiaDrone ya upelelezi ya US imepotea kwenye rada wakati ikiendelea na jukumu la Kijasusi huko bahari nyeusi. Wachunguzi wa mambo wanasema Russia ameishusha na kupeleka kusikojulikana.
#BREAKING: US drone Global hawk flying over black sea to collect intelligence of Russian naval fleet, got disappeared from the radar.
—Current Report
Umefurahi eeeeeehDrone ya upelelezi ya US imepotea kwenye rada wakati ikiendelea na jukumu la Kijasusi huko bahari nyeusi. Wachunguzi wa mambo wanasema Russia ameishusha na kupeleka kusikojulikana.
#BREAKING: US drone Global hawk flying over black sea to collect intelligence of Russian naval fleet, got disappeared from the radar.
—Current Report
Uwezi kupata majibu kwa wanaofikiri kwa kutumia hisia na dini badala ya kutumia Akili.Jihadists mtuambie na hii imekaaje ⁉️👇👇👇
Russian ship Admiral Levchenko on fire in Barents Sea, Ukrainian official claims
Russian anti-submarine ship Admiral Levchenko is burning in the Barents Sea after an engine malfunctioned and caught fire, Dmytro Pletenchuk, press chief for the Southern Defense Forces of Ukraine's Armed Forces, said on June 10.kyivindependent.com